Waziri Mkuu: Treni ya SGR kuanza majaribio Julai 2021

Afadhali angenyamaza tu. Mara ya kwanza tuliambiwa safari za majaribio kati ya Dar - Morogoro, ingekuwa 2019.

Kwa uwongo ule kuhusiana na afya ya Hayati Rais, huyu hastahili kuaminiwa katika lolote.
 
Afadhali angenyamaza tu. Mara ya kwanza tuliambiwa safari za majaribio kati ya Dar - Morogoro, ingekuwa 2019.

Kwa uwongo ule kuhusiana na afya ya Hayati Rais, huyu hastahili kuaminiwa katika lolote.
Kweli kabisa, mara ya kwanza tuliambiwa Nov 2019, hadi leo hii holaaa hakuna jipya...
 
mmh mie simuamini tena huyo mh. mpaka nione mwenyew kwa macho yangu hiyo tarehe ikifika!
 
Back
Top Bottom