Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,232
- 34,170
Huyu sio mtu wa kumuamini."Rais Magufuli mzima, bukheri wa afya anachapa kazi Ikulu"- PM Majaliwa March 15 zakuambiwa.....
Huyu sio mtu wa kumuamini."Rais Magufuli mzima, bukheri wa afya anachapa kazi Ikulu"- PM Majaliwa March 15 zakuambiwa.....
Itabidi mzee meko aje kujibu.Maswali gani haya?
Hapa mitaa ya Gerezan/gold star wameshindwa kuunganisha kilasiku wanajenga na kubomoa
Huyu waziri siyo wa kumuamini sana! Hua anajitungia habari then anamlisha Mkubwa wake! MF. Jiwe lipo ofisini.Za kuambiwa, changanya na zako.
"Mnataka atoke aende wapi? Kariakoo au magomeni?""Rais Magufuli mzima, bukheri wa afya anachapa kazi Ikulu"- PM Majaliwa March 15 zakuambiwa.....
Acha upuuziItabidi mzee meko aje kujibu.
Ndiyo maana bimkubwa amesema hataki fedha za zulmaTrilioni 7 zimezikwa hapo. Nyingine za mkopo na nyingine kutoka NSSF+PSSF+WALIZOMNYANG'ANYA MODEWJI WALIPOMTEKA N.K
R.I.P MAGOFOOL.
Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
Rais haendi kariakooHuyu sio mtu wa kumuamini.
Kama km 200 kwa miaka 5 basi hadi mwanza ni balaa..Mwalimu Nyerere alijenga reli ya Tazara Dsm mpaka Kapirimposhi Zambia kwa muda wa miaka 5.
..tunakwenda mwaka wa 5 sasa Sgr haijafika Morogoro.
Kweli kabisa, mara ya kwanza tuliambiwa Nov 2019, hadi leo hii holaaa hakuna jipya...Afadhali angenyamaza tu. Mara ya kwanza tuliambiwa safari za majaribio kati ya Dar - Morogoro, ingekuwa 2019.
Kwa uwongo ule kuhusiana na afya ya Hayati Rais, huyu hastahili kuaminiwa katika lolote.
Hawa CCM ni wapiga dili..Mwalimu Nyerere alijenga reli ya Tazara Dsm mpaka Kapirimposhi Zambia kwa muda wa miaka 5.
..tunakwenda mwaka wa 5 sasa Sgr haijafika Morogoro.
Kuvutia watalii kama uwanja wa Chato....Huu mwaka wa 5 bado wanatengeneza barabara ya juu ya treni Kariakoo.
Aliyedesign ile tren ipite juu Kariakoo na chizi kabisa au alidesign kwa matakwa yake.
Kwa hiyo hautaki?
Acha upuuzi