kuwese
JF-Expert Member
- Nov 16, 2015
- 817
- 428
Anakesha yeye jambazi? Mafisadi ni zao la mfumo, sasa hivi wapiga dili wanatumia akili nyingi kukabiliana na wakati uliopoPengine pale alikuwa na uchovu pengine hakulala usiku yupo macho hii nchi ukilala kidogo tu unawaachia mafisadi upenyo wa kuiba!! Kuogoza hii nchi siyo kazi rahisi