mmzalendo
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 165
- 1
KULIKUA NA SABABU GANI KIKWETE KWENDA KUMCHAGUA HUYO WAZIRI MKUU PINDA AMBAYE HALIKUA AJULIKANI,
SIFA KUBWA YA PINDA NI MTOTO WA MKULIMA, NA NI KWELI MAANA ASILIMIA ZAIDI YA 80% YA WATANZANIA WOTE NI WAKULIMA HASA KWA WAKATI ALIOZALIWA PINDA
PINDA KAPEWA HICHO CHEO ILI SISI MASIKINI TUJUI TUNA MWAKILISHI LAKINI HAKUNA KITU MIMI NAKUAMBIA
KAWAWA ANA WATOTO WAWILI BUNGENI MPAKA SASA MAKAMBA
NADHANI KILA MTU ANAJUA
sornce:
www.lifeofmshaba.com: WAZIRI MKUU PINDA UMASIKINI HUPO MPAKA SUMBAWANGA!!!!!
SIFA KUBWA YA PINDA NI MTOTO WA MKULIMA, NA NI KWELI MAANA ASILIMIA ZAIDI YA 80% YA WATANZANIA WOTE NI WAKULIMA HASA KWA WAKATI ALIOZALIWA PINDA
PINDA KAPEWA HICHO CHEO ILI SISI MASIKINI TUJUI TUNA MWAKILISHI LAKINI HAKUNA KITU MIMI NAKUAMBIA
KAWAWA ANA WATOTO WAWILI BUNGENI MPAKA SASA MAKAMBA
NADHANI KILA MTU ANAJUA
sornce:
www.lifeofmshaba.com: WAZIRI MKUU PINDA UMASIKINI HUPO MPAKA SUMBAWANGA!!!!!