TabletFellow
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 918
- 272
wasulubiwe... wasulubiwe
Kiboga we na familia yakoWe Kiboga, wapi umeona mwenyekiti? Kwani baraza kivuli linaongozwa na nani?
Wawajibike kwanza watuhumiwa.....haiwezekani kuwajibisha viongozi Kabla ya Wezi husika hawajakamatwa......hawa Wezi kwa umoja wao (wabunge ofcoz) Yaaani Wezi kutoka CCM na Wezi kutoka CHADEMA kwanza watangazwe hadharani, Kama ni kunyong'wa wanyongwe Kama ni kupigwa mawe hadi wafe tuwapigwe mawe hadi kufa......Maana tushachoshwa na Wezi WA aina hii.
Yani hadi wabunge WA UPiNZANi (Chadema?)? Mimi nilidhani ni Magamba pekee ndio mafisadi!!
Likishakamilika zoezi la kuwaadabisha hao Wezi then ndio turudi kwa hawa viongozi wakuu na kuona Ushiriki wao katika kashfa husika. Ndio tutajua Kama NAo wawajibike au la. Usilete Harakati zako hapa.
Karibu ADC.
ADC - DIRA ya Mabadiliko.
With this level of thinking and analysis kweli kazi ipo!
Viongozi wakuu wa Bunge mbona unamuacha KUB na mawaziri vivuli? Do you think wako pale kwa ushahidi tu.
If kuna watu wa kujiuzulu sio PM na Spika tu, ingependeza zaidi hata Bunge lote likivunjwa ili tuanze upya.
Go back to analytical thinking na jifunze logic kabla hujaandika madudu kwenye JF as it is quite a respected forum in Tanzania.
Another thing, badilisha heading ya thread yako!
Nyambafu na hii heading yako,unaandika as if wameshajiuzulu,moods au mleta mada change nane wajiuzulu,weka kujiuzulu,tena iwe ni tetesi na si breaking news.