Waziri Mkuu Pinda karibu sana Marekani!

Mwafrika wa Kike

JF-Expert Member
Jul 5, 2007
5,185
56
Vyanzo mbalimbali vya habari vimeanza kuongelea ziara ya waziri mkuu wa JMT - Pinda ya kutembelea marekani. Habari hizi ambazo ni nyeti na za kutatanisha lakini za kutoka vyanzo vya uhakika (nawahakikishia wana JF kuwa this time chanzo changu sio my mom!) zinasema kuwa Mheshimiwa Pinda amekuwa anapanga hii trip for a while now.

Kwanza kabisa kabla nyie wana usalama kina .... na .. hamjaanza kunishikia bango hapa la kutoa hii habari nje. Sijasema tarehe ya hii ziara na nitasubiri wengine kusema hili. Ninachojaribu tu kusema hapa ni kuwa, Mheshimiwa Pinda unakaribishwa sana hapa kwa mzee Kichaka. Natumaini utawapatia watanzania nafasi japo kidogo ya kukutana nawe (bila kujali itikadi zao za vyama).

Hata hivyo, napenda kukumbusha kuwa usipoteze muda wako kujaribu kujua nani ni nani na anatumia jina gani hapa JF. Hii itakuwa ni kazi ngumu sana na ambayo (to be fair) itakupotezea muda wako na mapesa ya wananchi wa Tanzania kuifanya. Stick to your official business na kuwa very nice kwa watanzania walio marekani ambao mchango wao kwa uchumi wa Tanzania ni mkubwa sana.

Binafsi, nina kila sababu ya kuwa mpinzani wa uovu wa serikali ya ccm. Hii ni haki yangu kikatiba ambayo nilifundishwa na scout master wangu tangu nikiwa mtoto. Mheshimiwa Pinda, mie binafsi niliapa kuilinda nchi yangu dhidi ya maadui wake wa kisiasa na kiuchumi na nimeahidi kufanya hivyo mpaka siku mauti yakinifika. Katika hili naomba ieleweke kuwa hakuna mjadala wala vitisho.

Hata hivyo naomba nikupongeze kwa yale ambayo hujafanya so far. Ni vizuri kuona kuwa bado hujaanzisha ka kampuni kako ka maji au umeme ili kuwaibia wadanganyika. Ni vizuri kuona vile ukijaribu kukaa mbali na huyo mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata- MB Rostam Azizi. Ni vizuri kuona kuwa una nia yakuongea na wadau mbalimbali walio ndani na nje ya serikali ili kuboresha serikali yako.

Baada ya kusema haya, nakukaribisha sana hapa kwa Kichaka na uwe huru na kujisikia "nyumbani" kuongea na watanzania kwa kadri ile itakavyowezekana.

Asante!
 
Vyanzo mbalimbali vya habari vimeanza kuongelea ziara ya waziri mkuu wa JMT - Pinda ya kutembelea marekani. Habari hizi ambazo ni nyeti na za kutatanisha lakini za kutoka vyanzo vya uhakika (nawahakikishia wana JF kuwa this time chanzo changu sio my mom!) zinasema kuwa Mheshimiwa Pinda amekuwa anapanga hii trip for a while now.

Kwanza kabisa kabla nyie wana usalama kina .... na .. hamjaanza kunishikia bango hapa la kutoa hii habari nje. Sijasema tarehe ya hii ziara na nitasubiri wengine kusema hili. Ninachojaribu tu kusema hapa ni kuwa, Mheshimiwa Pinda unakaribishwa sana hapa kwa mzee Kichaka. Natumaini utawapatia watanzania nafasi japo kidogo ya kukutana nawe (bila kujali itikadi zao za vyama).

Hata hivyo, napenda kukumbusha kuwa usipoteze muda wako kujaribu kujua nani ni nani na anatumia jina gani hapa JF. Hii itakuwa ni kazi ngumu sana na ambayo (to be fair) itakupotezea muda wako na mapesa ya wananchi wa Tanzania kuifanya. Stick to your official business na kuwa very nice kwa watanzania walio marekani ambao mchango wao kwa uchumi wa Tanzania ni mkubwa sana.

Binafsi, nina kila sababu ya kuwa mpinzani wa uovu wa serikali ya ccm. Hii ni haki yangu kikatiba ambayo nilifundishwa na scout master wangu tangu nikiwa mtoto. Mheshimiwa Pinda, mie binafsi niliapa kuilinda nchi yangu dhidi ya maadui wake wa kisiasa na kiuchumi na nimeahidi kufanya hivyo mpaka siku mauti yakinifika. Katika hili naomba ieleweke kuwa hakuna mjadala wala vitisho.

Hata hivyo naomba nikupongeze kwa yale ambayo hujafanya so far. Ni vizuri kuona kuwa bado hujaanzisha ka kampuni kako ka maji au umeme ili kuwaibia wadanganyika. Ni vizuri kuona vile ukijaribu kukaa mbali na huyo mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata- MB Rostam Azizi. Ni vizuri kuona kuwa una nia yakuongea na wadau mbalimbali walio ndani na nje ya serikali ili kuboresha serikali yako.

Baada ya kusema haya, nakukaribisha sana hapa kwa Kichaka na uwe huru na kujisikia "nyumbani" kuongea na watanzania kwa kadri ile itakavyowezekana.

Asante!


Walitaka aingie kimya kimya ? Anacheza na JF sasa amesha jua moto wake .Pinda sina hakika kama anaweza kuonana na nyie maana anajua maswali yenu hana majibu labda hadi warudi Butiama wakae na waamue aseme nini .Karibu Pinda ila tangazeni watu wajue .
 
Na kwenye ziara yake apange muda wa kuongea na watanzania wenye uchungu na nchi yao, akiruhusu maswali please!!
Nadhani hili litatusaidia sana kujua hali ya uchumi na maisha ya watu wa nchi yetu kwa kupata majibu direct kutoka kwa Mh. Waziri mkuu

The man is careful .He hates watu kumbana na sasa sina hakika kama atataka kuonana na akina baba H .Sina hakika maana anajua mambo ya JF
 
Walitaka aingie kimya kimya ? Anacheza na JF sasa amesha jua moto wake .Pinda sina hakika kama anaweza kuonana na nyie maana anajua maswali yenu hana majibu labda hadi warudi Butiama wakae na waamue aseme nini .Karibu Pinda ila tangazeni watu wajue .

Walitaka iwe siri mkuu lakini ndio hivyo tena JF imeitoa nje!

Mimi so far sina ugomvi na Pinda na nitamkaribisha hata nyumbani kwetu kwa bonge la babikyu kama akikubali!
 
Vyanzo mbalimbali vya habari vimeanza kuongelea ziara ya waziri mkuu wa JMT - Pinda ya kutembelea marekani. Habari hizi ambazo ni nyeti na za kutatanisha lakini za kutoka vyanzo vya uhakika (nawahakikishia wana JF kuwa this time chanzo changu sio my mom!) zinasema kuwa Mheshimiwa Pinda amekuwa anapanga hii trip for a while now.

Kwanza kabisa kabla nyie wana usalama kina .... na .. hamjaanza kunishikia bango hapa la kutoa hii habari nje. Sijasema tarehe ya hii ziara na nitasubiri wengine kusema hili. Ninachojaribu tu kusema hapa ni kuwa, Mheshimiwa Pinda unakaribishwa sana hapa kwa mzee Kichaka. Natumaini utawapatia watanzania nafasi japo kidogo ya kukutana nawe (bila kujali itikadi zao za vyama).

Hata hivyo, napenda kukumbusha kuwa usipoteze muda wako kujaribu kujua nani ni nani na anatumia jina gani hapa JF. Hii itakuwa ni kazi ngumu sana na ambayo (to be fair) itakupotezea muda wako na mapesa ya wananchi wa Tanzania kuifanya. Stick to your official business na kuwa very nice kwa watanzania walio marekani ambao mchango wao kwa uchumi wa Tanzania ni mkubwa sana.

Binafsi, nina kila sababu ya kuwa mpinzani wa uovu wa serikali ya ccm. Hii ni haki yangu kikatiba ambayo nilifundishwa na scout master wangu tangu nikiwa mtoto. Mheshimiwa Pinda, mie binafsi niliapa kuilinda nchi yangu dhidi ya maadui wake wa kisiasa na kiuchumi na nimeahidi kufanya hivyo mpaka siku mauti yakinifika. Katika hili naomba ieleweke kuwa hakuna mjadala wala vitisho.

Hata hivyo naomba nikupongeze kwa yale ambayo hujafanya so far. Ni vizuri kuona kuwa bado hujaanzisha ka kampuni kako ka maji au umeme ili kuwaibia wadanganyika. Ni vizuri kuona vile ukijaribu kukaa mbali na huyo mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata- MB Rostam Azizi. Ni vizuri kuona kuwa una nia yakuongea na wadau mbalimbali walio ndani na nje ya serikali ili kuboresha serikali yako.

Baada ya kusema haya, nakukaribisha sana hapa kwa Kichaka na uwe huru na kujisikia "nyumbani" kuongea na watanzania kwa kadri ile itakavyowezekana.

Asante!


Dada MWK,

Mama safari hii alikuwa wapi?au alienda kununua mboga sokoni akasahau kukupa tarifa hizi?Anyway thanks a lot our beloved sister.Naona kuna jamaa alijaribu kukuchefua kwa kukuita wewe ni Mwanakijiji mara Lula ndali mara nani sijui...Anyway nilivyoambiwa kuhusu Pinda kuwa angalau ana sense ya utu na utanzania ndani ya moyo wake na kwamba sio mtu wa kujilowassa kabisa unless JK&system wapanie kulowassisha kabisa iliwote wawe sare yaani ngoma draw kwa ufisadi na usanii.

Thnaks againa and let's just keep on kusukuma mbele gurudumu la maendeleo (sijui na sikumbuki mara ya mwisho tulipolisukuma lilikuwa limefikia wapi).
 
Walitaka iwe siri mkuu lakini ndio hivyo tena JF imeitoa nje!

Mimi so far sina ugomvi na Pinda na nitamkaribisha hata nyumbani kwetu kwa bonge la babikyu kama akikubali!

MwK unatafuta post nini kwa MP, mbona sisi wengine tupo hapa hapa US hujawahi kutukaribisha sisi wana JF babikyu?
 
Nimesikia Rais kukutana na wananchi nchi za nje, lakini sio mkuu wa mawaziri. Hivyo sitegemei, wala sito mlaumu asipokutana.

Isitoshe, nimehudhuria hii mikutano nje, na ambayo sijahudhuria nimeiona kwenye U-Tube (ya Sweden na UK). Mara zote huwa inakuwa ni ghafla ya kupiga makofi na kucheka kila kichekesho cha Kikwete na Mkapa hata wakati hawachekeshi na nchi ina omboleza.

Wakati wa maswali, mnaandika listi ya vinavyowakuna, kachero wa Rais anavikusanya anampa mpambe wa mawasiliano wa Rais, ambaye anayapiga panga kutengeneza ki-list kingine. Halafu anampa Kikwete, Kikwete anachagua ya kujibu. Na aliyoyachagua ni yeye Kikwete anasoma swali, kwa hiyo analiuliza kama anavyo taka yeye.
Jibu likitoka kama la Plato!

Watu eeeeeeeeh!
 
Dada MWK,

Mama safari hii alikuwa wapi?au alienda kununua mboga sokoni akasahau kukupa tarifa hizi?Anyway thanks a lot our beloved sister.Naona kuna jamaa alijaribu kukuchefua kwa kukuita wewe ni Mwanakijiji mara Lula ndali mara nani sijui...Anyway nilivyoambiwa kuhusu Pinda kuwa angalau ana sense ya utu na utanzania ndani ya moyo wake na kwamba sio mtu wa kujilowassa kabisa unless JK&system wapanie kulowassisha kabisa iliwote wawe sare yaani ngoma draw kwa ufisadi na usanii.

Thnaks againa and let's just keep on kusukuma mbele gurudumu la maendeleo (sijui na sikumbuki mara ya mwisho tulipolisukuma lilikuwa limefikia wapi).

Ibambasi,

mama alichelewa kufika kwenye appointment yake (source) kwa hiyo akakosa hii news (si unajua tena mambo ya usafiri Dar yalivyo?)

Huyo Gembe na wenzake achana nao maana chuki zao dhidi ya some pple hapa zinafunika uwezo wao wa kufikiri na kutenganisha fact from fiction.

Katika issue ya Pinda, the guy hata mimi namsifia kwa kweli na niko very positive with him. Nitamwalika babikyu akija kiwanja!
 
MwK unatafuta post nini kwa MP, mbona sisi wengine tupo hapa hapa US hujawahi kutukaribisha sisi wana JF babikyu?

Pinda inabidi tuwe naye karibu ili kina Rostam Azizi wasije kumbatiza kwenye bwawa la ufisadi wasivyo na haya wezi na wakoloni wale. Nitamwalika kwenye Babikyu just to give him full support ya wana JF hapa USA.

Kuhusu wewe na wana JF kualikwa Babikyu usiwe na wasiwasi kwani kuna bonge la Bash linapangwa kufuatia lile la Columbus (shule zikifungwa) ili wana JF wakutane na kuchoma nyama huku wakipanga namna ya kudeal na mwizi na mkoloni mwenye uraia wa utata Rostam Azizi!
 
Jamani eehh mwacheni pinda nae akaoshe macho USA maana hajatoka bado na hana exposure kivilee...muacheniii...ataenda usa na kurudi bila kuongea na yeyote..sijui atakuwa na ujumbe wa watu wangapi...aongeze level suti kabatinii......
 
Jamani eehh mwacheni pinda nae akaoshe macho USA maana hajatoka bado na hana exposure kivilee...muacheniii...ataenda usa na kurudi bila kuongea na yeyote..sijui atakuwa na ujumbe wa watu wangapi...aongeze level suti kabatinii......

Tumemuacha ndugu yangu!

Yeye aje tu angalau asafishe macho
 
Na mkuu wa kaya anakuja UK tarehe 18 mwezi huu atakutana na watanzania wanaohishi UK, sasa kazi ipo hapo
Tumemwamba Balozi kwenye Agenda zake za siku hiyo aweke kipindi cha watanzania kumuuliza Maswali live Mh. President lakini naona bado Balozi bado anaweka ngumu,

Sasa wakuu mnasemaje?? JF kama kawa nadhani itakuwepo kwa wingi tu, kusikiliza maigizo ya CCM

BabaH,

JF is everywhere na inabidi JK na mama Majar wajue hili mapema
 
Na mkuu wa kaya anakuja UK tarehe 18 mwezi huu atakutana na watanzania wanaohishi UK, sasa kazi ipo hapo
Tumemwamba Balozi kwenye Agenda zake za siku hiyo aweke kipindi cha watanzania kumuuliza Maswali live Mh. President lakini naona bado Balozi bado anaweka ngumu,

Sasa wakuu mnasemaje?? JF kama kawa nadhani itakuwepo kwa wingi tu, kusikiliza maigizo ya CCM

Baba H
nategemea kuwa London wiki Ijayo .Nitakuwa pale bruce Grove # 33
Totenham High Rd njia panda ya kwenda Wood Green na Middlesex Hos.

Nakuja kujionea mwenyewe .Nipo pamoja nanyi
 
Mlioko nje kama ndio mtindo wao wa kukusanya maswali kabla,hiyo tabia muikatae.Kwanini wanakwepa live questions?
 
Kwa wale walio China kwa habari kamili ni kuwa mkuu wa kaya atakuwa Beijing tarehe 14 kwa siku kama tatu. so kazi kwenu wenye kujiandaa kwa zhaodesuo haya wale wa bingguan haya ili mradi mambo yana kwenda.
 
Hivi aliyekuwa nje ya Nchi anakuwa na uchungu kuliko anayeishi nchini mwake?Itabidi nami nihamie nje ya nji ili nami niwe na uchungu na nchi yangu!
 
Back
Top Bottom