makoye2009
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,638
- 1,218
Bwana Pasco,
Hemu acha mzaha pse.
Yaani Pinda,mtu aliyeshindwa Uwaziri Mkuu unataka apewe URAIS????!!!!!!Huyu ndiye PM dhaifu kabisa mbaye Tanzania imewahi kuwa naye. PM anayelia kila akiletewa matatizo badala ya kuyatatua? PM anayeongea kama vile anatongoza mwanamke???? Huyu hafai kuwa kiongozi mahali popote! Inakuwaje unamtetea kihivo? Vipi mzee au umemwolea nini?
Hemu acha mzaha pse.
Yaani Pinda,mtu aliyeshindwa Uwaziri Mkuu unataka apewe URAIS????!!!!!!Huyu ndiye PM dhaifu kabisa mbaye Tanzania imewahi kuwa naye. PM anayelia kila akiletewa matatizo badala ya kuyatatua? PM anayeongea kama vile anatongoza mwanamke???? Huyu hafai kuwa kiongozi mahali popote! Inakuwaje unamtetea kihivo? Vipi mzee au umemwolea nini?