kelao
JF-Expert Member
- Sep 24, 2012
- 8,132
- 5,785
Leo bungeni wakati mjadala motomoto wa wa taarifa za kamati za wenyeviti wa kamati za oversite,wabunge wamehoji kutokuwepo bungeni kwa mh.waziri mkuu Mizengo Pinda katika kiti chake.Mh. Mkosamali ameenda mbali zaidi kwa kusema waziri mkuu huwa nae anapokea 'bahasha'na ndio maana huwa hawachukulii hatua watendaji wanaoboronga ktk nafasi zao.Hata hivyo Mh. Lukuvi amemtetea waziri mkuu kwa kusema yupo Dar es salaam anasubiri kumpokea kiongozi mkubwa wa Uholanzi anakuja nchini..