MPUNGA MMOJA
JF-Expert Member
- May 30, 2015
- 304
- 401
Hakuna watu wa ajabu na wakupuuzwa kama hawa hasa wakiwasha MIC.
Leo yule alikuwa Waziri wa Viwanda anasema bungeni nchi haiwezi kwenda haina viwanda huku wakati ye Waziri wa Viwanda alituaminisha alisimamia uanzishwaji wa viwanda 400.
Kule Mbozi Hasunga alikuwa Waziri wa Kilimo analia bei ya kahawa ndogo huku pembejeo zikiwa juu
Juzi Tulia analia Mbeya miundo mbinu mibovu inasababisha mgomo wa Daladala na Bajaj.
Leo Waziri Mkuu akiwa SUA analamika ajira hakuna sababu hatuna viwanda vya kutosha.
Hawa wote CCM
Leo yule alikuwa Waziri wa Viwanda anasema bungeni nchi haiwezi kwenda haina viwanda huku wakati ye Waziri wa Viwanda alituaminisha alisimamia uanzishwaji wa viwanda 400.
Kule Mbozi Hasunga alikuwa Waziri wa Kilimo analia bei ya kahawa ndogo huku pembejeo zikiwa juu
Juzi Tulia analia Mbeya miundo mbinu mibovu inasababisha mgomo wa Daladala na Bajaj.
Leo Waziri Mkuu akiwa SUA analamika ajira hakuna sababu hatuna viwanda vya kutosha.
Hawa wote CCM