britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,635
- 29,967
Hamtanielewa,
Magufuli ana Mpango wa kuwafukuza kazi wote wanaoonekana washindani wake, mbaya zaid madaraka watapewa wapinzani,
Je unaamini kwamba ipo siku wapinzani ambao walishiriki kuzipunguza kura za Magufuli mwaka 2015 watakuwa wanshangilia kupewa vyeo vikubwa mdani ya nchi na CCM lakin watu kama Makamba, Kinana, Nape, Lusinde, hata wabunge wengine
Kikao cha waziri mkuu na waitara mh, mh ,mh, kina Makamba kaa chonjo
Britannica
Magufuli ana Mpango wa kuwafukuza kazi wote wanaoonekana washindani wake, mbaya zaid madaraka watapewa wapinzani,
Je unaamini kwamba ipo siku wapinzani ambao walishiriki kuzipunguza kura za Magufuli mwaka 2015 watakuwa wanshangilia kupewa vyeo vikubwa mdani ya nchi na CCM lakin watu kama Makamba, Kinana, Nape, Lusinde, hata wabunge wengine
Kikao cha waziri mkuu na waitara mh, mh ,mh, kina Makamba kaa chonjo
Britannica