Waziri Mkuu na Bunge wamemtendea haki Hayati Magufuli

F-Merylin

Senior Member
Dec 26, 2016
128
177
Jana Bungeni Waziri Mkuu alibainisha wazi kuwa Serikali ya Awamu ya Sita itaenzi ‘legacy’ ya Magufuli. Alitaja mambo kadhaa kama vile kupinga rushwa; kuwajali wanyonge; na miradi ya kimkakati.

Waziri wa Fedha pia alikemea wanaomrushia ‘mishale’ Hayati. Pia wabunge wengine kama Lusinde waliongea kwa hisia kupinga kauli za kumshambulia Hayati Magufuli na wabunge karibu wote walipongeza kwa makofi kauli hizo.

Japo kama alivyosema Makamba sio kosa kumkosoa Magufuli lakini sio vema pia kutumia chuki dhidi yake kumshambulia kwa hoja ambazo zina lengo la kumchafua badala ya kujenga.

Niseme kutoka moyoni kuwa kauli ya Majaliwa imewapa na itawapa faraja watanzania wengi sana. Sasa tunajua kuwa serikali mpya iko serious inaposema “Kazi iendelee”.

Na ieleweke kuwa supporters wa Magufuli hatusemi asikoselewe au Mama Samia asisonge mbele bali tunaomba mazuri yake mengi yafanyiwe kazi; heshima na uhuru wetu wa kisiasa na kiuchumi viheshimiwe na vilindwe; raslimali zetu zitunzwe na zitumiwe kwa manufaa ya wananchi, n.k. Kumbukeni vilio vya watu barabarani kwa ajili ya Magufuli na iwakumbushe kuwa watanzania wanahitaji mtetezi. Bado wana imani na serikali ya Mama Samia.
 
Legacy ya magufuli imejaa damu, udhalimu na dhuluma za kutisha dhidi ya Watanzania wasio na hatia. Hawawezi kuendelea na uongo wao kuhusu legacy hiyo huku kukiwa na ushahidi chungu nzima wa udhalimu na dhuluma zake za kutisha tangu 2016.

Jana Bungeni Waziri Mkuu alibainisha wazi kuwa Serikali ya Awamu ya Sita itaenzi ‘legacy’ ya Magufuli. Alitaja mambo kadhaa kama vile kupinga rushwa; kuwajali wanyonge; na miradi ya kimkakati....
 
Legacy ya magufuli imejaa damu, udhalimu na dhuluma za kutisha dhidi ya Watanzania wasio na hatia. Hawawezi kuendelea na uongo wao kuhusu legacy hiyo huku kukiwa na ushahidi chungu nzima wa udhalimu na dhuluma zake za kutisha tangu 2016.
Wewe ulitumbuliwa nini? Hata waliotumbuliwa wenye maono wanajua alifanya haki kwa ajili ya wengi
 
Jana Bungeni Waziri Mkuu alibainisha wazi kuwa Serikali ya Awamu ya Sita itaenzi ‘legacy’ ya Magufuli. Alitaja mambo kadhaa kama vile kupinga rushwa; kuwajali wanyonge; na miradi ya kimkakati.

Waziri wa Fedha pia alikemea wanaomrushia ‘mishale’ Hayati. Pia wabunge wengine kama Lusinde waliongea kwa hisia kupinga kauli za kumshambulia Hayati Magufuli na wabunge karibu wote walipongeza kwa makofi kauli hizo.

Japo kama alivyosema Makamba sio kosa kumkosoa Magufuli lakini sio vema pia kutumia chuki dhidi yake kumshambulia kwa hoja ambazo zina lengo la kumchafua badala ya kujenga.

Niseme kutoka moyoni kuwa kauli ya Majaliwa imewapa na itawapa faraja watanzania wengi sana. Sasa tunajua kuwa serikali mpya iko serious inaposema “Kazi iendelee”.

Na ieleweke kuwa supporters wa Magufuli hatusemi asikoselewe au Mama Samia asisonge mbele bali tunaomba mazuri yake mengi yafanyiwe kazi; heshima na uhuru wetu wa kisiasa na kiuchumi viheshimiwe na vilindwe; raslimali zetu zitunzwe na zitumiwe kwa manufaa ya wananchi, n.k. Kumbukeni vilio vya watu barabarani kwa ajili ya Magufuli na iwakumbushe kuwa watanzania wanahitaji mtetezi. Bado wana imani na serikali ya Mama Samia.
Vipi mambo ya kuteka, kuua, kufilisi na kubambika kesi wapinzani wake nayo yaendelee?

Vipi kuwapa kazi watoto wake, na ndugu zake nayo yaendelee?

Je kujenga aiapoti kijijini nako kuendelee? Tukajenge international airport Mwanakwerekwe pamoja na VETA na Referral Hospital?

Na je kuiba uchaguzi nako kuendelee?

Na vipi kupendelea kabila na kanda nako kuendelee? Kuvunjia watu nyumba zao bila fidia je? Kuendelee?

Na kutumia pesa za umma bila kuidhinishwa na bunge? Kuendelee?

Kama ulikuwa haujui hiyo ndiyo legacy ya Magufuli
 
Maendeleo yepi? Ya kununua ndege bila idhini ya Bunge kwa zaidi ya trillion 3 ndege ambazo kwa miaka mitano zimeiingiza hasara ya 154 billions? Maendeleo ya Wafanyakazi kutokuwa na nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano? Maendeleo ya Wafanyabishara kuikimbia nchi kwa kubambikiwa kodi kubwa sana na kesi kisha kuporwa pesa zao chungu nzima kwenye bank accounts zao!?
Unajua neno maendeleo na maana yake halisi au umeamua KUKURUPUKA TU!? 😳
kutengenasha maendeleo ya Tanzania na Magufuli. Hauwezi.
 
Legacy ya magufuli imejaa damu, udhalimu na dhuluma za kutisha dhidi ya Watanzania wasio na hatia. Hawawezi kuendelea na uongo wao kuhusu legacy hiyo huku kukiwa na ushahidi chungu nzima wa udhalimu na dhuluma zake za kutisha tangu 2016.

Magu kaleta maendeleo wwe kiazi
kila ukiona jina la Magu lazima uje kujamber jamber....kumbaf...
kila nikikuona umenyanyua shingo kumponda Magu...na mie nakutia nyundo ya utosini....popote pale
 
Maendeleo yepi? Ya kununua ndege bila idhini ya Bunge kwa zaidi ya trillion 3 ndege ambazo kwa miaka mitano zimeiingiza hasara ya 154 billions? Maendeleo ya Wafanyakazi kutokuwa na nyongeza ya mishahara kwa miaka mitano? Maendeleo ya Wafanyabishara kuikimbia nchi kwa kubambikiwa kodi kubwa sana na kesi kisha kuporwa pesa zao chungu nzima kwenye bank accounts zao!?
Unajua neno maendeleo na maana yake halisi au umeamua KUKURUPUKA TU!? 😳
kwa ufupi: kuifikisha Tanzania dunia ya pili miaka mitano kabla ya ilivyotarajiwa.
 
😂😂😂😂😂😂😂 Dunia ya pili ambayo Wafanyabishara wanaikimbia nchi ili kukimbia dhuluma na udhalimu. Hebu acha kuonyesha ujuha wako hadharani. Tangu lini Wafanyabishara wakaikimbia nchi yenye maendeleo? Kama kuna maendeleo si ndiyo ingekuwa kivutio kwao ili wawekeze zaidi na hivyo kuongeza faida kwenye biashara zao!?
kwa ufupi: kuifikisha Tanzania dunia ya pili miaka mitano kabla ya ilivyotarajiwa.
 
Jana Bungeni Waziri Mkuu alibainisha wazi kuwa Serikali ya Awamu ya Sita itaenzi ‘legacy’ ya Magufuli. Alitaja mambo kadhaa kama vile kupinga rushwa; kuwajali wanyonge; na miradi ya kimkakati.

Waziri wa Fedha pia alikemea wanaomrushia ‘mishale’ Hayati. Pia wabunge wengine kama Lusinde waliongea kwa hisia kupinga kauli za kumshambulia Hayati Magufuli na wabunge karibu wote walipongeza kwa makofi kauli hizo.

Japo kama alivyosema Makamba sio kosa kumkosoa Magufuli lakini sio vema pia kutumia chuki dhidi yake kumshambulia kwa hoja ambazo zina lengo la kumchafua badala ya kujenga.

Niseme kutoka moyoni kuwa kauli ya Majaliwa imewapa na itawapa faraja watanzania wengi sana. Sasa tunajua kuwa serikali mpya iko serious inaposema “Kazi iendelee”.

Na ieleweke kuwa supporters wa Magufuli hatusemi asikoselewe au Mama Samia asisonge mbele bali tunaomba mazuri yake mengi yafanyiwe kazi; heshima na uhuru wetu wa kisiasa na kiuchumi viheshimiwe na vilindwe; raslimali zetu zitunzwe na zitumiwe kwa manufaa ya wananchi, n.k. Kumbukeni vilio vya watu barabarani kwa ajili ya Magufuli na iwakumbushe kuwa watanzania wanahitaji mtetezi. Bado wana imani na serikali ya Mama Samia.
Waziri mkuu na hao wabunge, wote ni zao la uovu. Hakina cha ajabu, waovu kupongezana.

Kama wqngekuwa wameuelewa ujumbe wa Mungu, hawakustahili kupongezana, bali walistahili kutubu, kufanya toba ya kweli, na klilia Mungu, asiwahesabie uovu ule waliputenda October 2020, na maovu mengine mengi kama ya kuua, kuteka na kuwapoteza wanaowakospa.

Kwa sababu bado wameshupaza shingo, wakiendelea kujisifia kwa uovu. Waliyoyashuhudia ni madogo, waovu wote wataguswa na mkono wa Mungu.

'Nitampiga mchungaji, na kondoo wake wote watatawanyika'
 
😂😂😂😂😂😂😂 Dunia ya pili ambayo Wafanyabishara wanaikimbia nchi ili kukimbia dhuluma na udhalimu. Hebu acha kuonyesha ujuha wako hadharani. Tangu lini Wafanyabishara wakaikimbia nchi yenye maendeleo? Kama kuna maendeleo si ndiyo ingekuwa kivutio kwao ili wawekeze zaidi na hivyo kuongeza faida kwenye biashara zao!?
Akina Mbowe ni matapeli. Na matapeli wote hawakuwa na nafasi kwenye taifa lililoongozwa na serikali ya Magufuli. By the way, it is official tupo kwenye uchumi wa kati. Thanks to our country's all time best president, His excellency Dr. JPM.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sasa tapeli Mbowe mbona hajapandishwa kizimbani kwa utapeli wake? Tatizo ni lipi? Magufuli alikuwa mwizi, dhalimu wa kutisha na dhulmat wa kutisha pia. Ni wanafiki tu kama wewe ndiyo ambao wanaukimbia ukweli husika.
1618401199738.jpeg

Akina Mbowe ni matapeli. Na matapeli wote hawakuwa na nafasi kwenye taifa lililoongozwa na serikali ya Magufuli. By the way, it is official tupo kwenye uchumi wa kati. Thanks to our country's all time best president, His excellency Dr. JPM.
 
Hauwezi kutengenasha maendeleo ya Tanzania na Magufuli. Hauwezi.
sasa mbona nguvu nyingi saana kuzielezea hizo what you call Legacy? Hizo huwa zipo tu na watanzania wanaziona!! Legacy hazihubiliwi kama neno la Mungu kila Jpili.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sasa tapeli Mbowe mbona hajapandishwa kizimbani kwa utapeli wake? Tatizo ni lipi? Magufuli alikuwa mwizi, dhalimu wa kutisha na dhulmat wa kutisha pia. Ni wanafiki tu kama wewe ndiyo ambao wanaukimbia ukweli husika.
View attachment 1751795
Huyo unayemuona mwizi ametufikisha uchumi wa kati. Huyo Mbowe wako chama kinamfia. Chama kinaongozwa na tapeli unategemea nini!
 
Back
Top Bottom