kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 14,073
- 15,921
Wala asikanushe ni bora asitaafu maana heshima kwa wamasai pia imeshuka sasa!
Hii itakuwa wamasai wamemkataa Lowassa. The gap is to big.Kura 3,187? hili gap mbona kubwa namna hii?
Wacheni huyu mzee aendele na majukumu yake chadema, akirudi ccm, tutawapa cdm pahali pa kupumulia na watasema lile pandikizi tumeliondoa, chadema inarudia misingi yake ileile.Tulionywa kwamba mzee alikuwa na hasira sana na chadema kwa kumchafua lakini hatukusikia. Wacha amalize hasira zake kwa kukisambaratisha kabisa. 2020 wakipata wabunge 5 wamshukuru Mungu sana.
Huyu huyu anajitangaza kuwa kichaa ndio kama story ya Tanzania kichaa kaachiwa runguOil chafu - story ya Tanzania ni JPM na CCM!!!
Unadhani lowassa atagombea tena urais? Mwache abaki na uanachama wake haidhuru mbona chama chakavu ccm wazee kibao tuIfike mahala sasa Wapinzani huyu Mzee tuachane naye tu.
Siyo kulinda kura ila kusimamia na kuimarisha ulinzi wakati wa hujuma za uchaguzi.Chaguzi gani zinazolindwa na polisi kulinda kura za ccm tu?