Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,194
- 85,291
Ni MwalimuNdio nani huyo mwakasege?
Ni MwalimuNdio nani huyo mwakasege?
Chadema bhana sasa Lowassa kwenda msibani ndio msemaji wa chama unautaarifu umma?!....kweli mmeishiwa!
Mkuu nimeenda misiba mingi wa ndugu Na watu ninaojuana nao Msiba ukionifanya nilie makaburini ni mmoja tu nilienea kuzika rafiki yangu makaburi ya Kola morogoro mjini watu walilia sijapata ona maisha yangu yote makaburini kumbe Kila mtu alikumbuka Marehemu wake aliyekufa Na aliyezikwa makaburi ya Kola pale Morogoro mhini.Lowasa kwenda kulia Msiba wa mwakasege ikiwa ni platform yake ya kulia kifo chake cha kisiasaChadema bhana sasa Lowassa kwenda msibani ndio msemaji wa chama unautaarifu umma?!....kweli mmeishiwa!
We mjinga sana kuhusisha Chadema na huo msibaChadema bhana sasa Lowassa kwenda msibani ndio msemaji wa chama unautaarifu umma?!....kweli mmeishiwa!
Mimi, Makonda, Polepole, Sumaye,Makinda,Dr Tulia, Nchemba, Mbowe, Sefue, Mahalu na wengine wengi wakiwemo maaskofu tulikuwepoWaziri Mkuu Mstaafu na Mjumbe wa kamati kuu ya CHADEMA Mh. Edward Lowassa ameshiriki katika ibada ya mazishi ya kijana Joshua Mwakasege ambae ni mtoto wa mwalimu wa neno la Mungu Christopher Mwakasege.
Ibada hiyo imefanyika katika kanisa la KKKT usharika wa Mbezi Beach, Dar es salaam mchana wa leo.
View attachment 900072
Sasa wewe Mrombo nani anakutambua ? Polepole mwenyewe atakuwa kakukabidhi kwa mpiga deki wa Lumumba akupe semina elekezi .Mimi, Makonda, Polepole, Sumaye,Makinda,Dr Tulia, Nchemba, Mbowe, Sefue, Mahalu na wengine wengi wakiwemo maaskofu tulikuwepo
Acha uongo mkuu...Kivuko kuzama hatukuona jiwe akienda kutoa pole, yeye alikuwa anakula donati na TRA ya barabarani lakini Kigwangala alimpokea na ving'ora barabarani mpaka akambeba, Tetemeko aliwatukana wana Bukoba kwamb ukimwi wao, ngono wao, katerero wao, tetemeko tena wao.
Kiki?Hiyo haina kick, kiki ni Mo apatikane