Waziri Mkuu mstaafu, Mizengo Pinda ni mfano wa kiongozi bora

Nakumbuka tu alivyolia bungeni, watu wakasema analilia Uwaziri Mkuu.
Kwa kuzingatia mabaya kana kwamba mazuri hakuna. Unashangaa Masogange anasifiwa lakini mtu kama Pinda anasemwa kwa mabaya, yaani yule aliyetakiwa kupokewa kishujaa anakaribishwa kwa mawe na yule aliyetakiwa kuwa ameuwawa nchi kama China ama Saudia ndo anaonekana shujaa bongo
 
Kwa kuzingatia mabaya kana kwamba mazuri hakuna. Unashangaa Masogange anasifiwa lakini mtu kama Pinda anasemwa kwa mabaya, yaani yule aliyetakiwa kupokewa kishujaa anakaribishwa kwa mawe na yule aliyetakiwa kuwa ameuwawa nchi kama China ama Saudia ndo anaonekana shujaa bongo
Mkuu Rweye, wabongo hatujielewi, ndio maana kwenye meza ya magazeti unakuta UWAZI linamalizika mapema kuliko GUARDIAN.

Kuna tatizo fulani kwenye malezi yetu, haswa kwa upande wa hii jamii ya wasomi inayoishi mijini.
 
Mzee Pinda amestaafu baada ya Sumaye na Lowasa lakini ameridhika na mchango alioutoa kwa taifa na sasa anaishi maisha ya heshima ya kustaafu.

Hii ni tofauti na watangulizi wake wawili ambao bado wana uroho wa madaraka ingawa serikali ya CCM inawalipa 80% ya mshahara wa waziri mkuu wa sasa kama pension.

Wazee hawa wawili wanapambana na serikali inayowalea.....inachekesha.

Mungu akubariki mzee Pinda na awape roho ya Kiasi Sumaye na Lowasa, amen!
Tatizo la viongozi wasiopenda kukosolewa maovu yao huwasifia sana wanafiki
 
Huyu Pinda aliyetwambia Watanzania kuwa mafisadi yakikamatwa nchi itatikisika au Pinda mwingine?
 
Kwa kuzingatia mabaya kana kwamba mazuri hakuna. Unashangaa Masogange anasifiwa lakini mtu kama Pinda anasemwa kwa mabaya, yaani yule aliyetakiwa kupokewa kishujaa anakaribishwa kwa mawe na yule aliyetakiwa kuwa ameuwawa nchi kama China ama Saudia ndo anaonekana shujaa bongo
Hivi unazani binadamu wana jema? Wewe fanya mema ujira ni kwa Mungu lakini si hizi ngozi za binadamu
 
Mzee Pinda amestaafu baada ya Sumaye na Lowasa lakini ameridhika na mchango alioutoa kwa taifa na sasa anaishi maisha ya heshima ya kustaafu.

Hii ni tofauti na watangulizi wake wawili ambao bado wana uroho wa madaraka ingawa serikali ya CCM inawalipa 80% ya mshahara wa waziri mkuu wa sasa kama pension.

Wazee hawa wawili wanapambana na serikali inayowalea.....inachekesha.

Mungu akubariki mzee Pinda na awape roho ya Kiasi Sumaye na Lowasa, amen!
Mh Pinda anahitaji pongezi za dhati kabisa,wazee wenye busara na hekima kama Mzee Pinda ni wachache sana wanastahili pongezi na heshima ya hali ya juu ni mfano wa kuigwa Mungu awape maisha marefu.Amen.
 
Huu ni mfano mzuri wa kuonyesha kuwa mwanadamu ni mtu asiyeridhika,ukiachilia mbali mshahara anaolipwa,mali alizochuma tokea ujana wake na zile alipokuwa kwenye hicho cheo,pensheni aliolipwa alipostaafu lakini bado tu watu hawaridhiki,siwalaumu ndio ubinadamu,leo hii huna kitu unasema nikiwa na billioni 1 bank ntaridhika,lakini ukizipata bado utaendeleza mapambano ya kutafuta zaidi...
 
Back
Top Bottom