Waziri Mkuu Mstaafu Mheshimiwa Kassimu Majaliwa Kassimu Amtembelea na Kumjulia Hali Mwanamuziki Mkongwe wa muziki wa dansi Nchini King Kiki

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Mar 8, 2020
2,200
4,673
Mhesh Kassimu Majaliwa amemtembea nguli huyo wa muziki Nchini almaarufu Mzee wa Kitambaa Cheupe Nyumbani kwake leo.
FB_IMG_16049330241167280.jpg
FB_IMG_16049330206329328.jpg
FB_IMG_16049330161053184.jpg
 
Mungu mjaalie apate nafuu ya haraka mzee wetu wa kitambaa cheupe.
 
Mhesh Kassimu Majaliwa amemtembea nguli huyo wa muziki Nchini almaarufu Mzee wa Kitambaa Cheupe Nyumbani kwake leo.
Duh, nilimkumbuka King Kikii na wimbo wake wa kitambaa cheupe hivi karibuni
Get Well Soon King Kikii
P
 
Hivi huyu mzee alishaupata uraia wa tz
Si inasemekana alitokeaga kongo

Ova
 
Futuhi!! Ndiyo ni Futuhi!
Kama ana ubinadamu huo:-
  • kwann walifanya yale ya Pemba??
  • kwann wapinzani wanaenda kutafuta hifadhi?
  • kwann mgombea wa upinzani Ruangwa alipigwa na kutekwa ofisi ya mkurugenzi siku ya kurudisha fomu?

"Thugs can't disguise their identities by acting humanely"....by Sexless.
 
Futuhi!! Ndiyo ni Futuhi!
Kama ana ubinadamu huo:-
  • kwann walifanya yale ya Pemba??
  • kwann wapinzani wanaenda kutafuta hifadhi?
  • kwann mgombea wa upinzani Ruangwa alipigwa na kutekwa ofisi ya mkurugenzi siku ya kurudisha fomu?

"Thugs can't disguise their identities by acting humanely"....by Sexless.
Ndugu yangu, shetani ili akunase, kwanza hujifanya malaika, ukishahadaika, ndipo utautambua ushetani wake.

CCM siyo chama bali ni imani. Ni imani iliyojengeka kwenye misingi ya kishetani. Huwezi kuingia humo halafu usiishi imani yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Futuhi!! Ndiyo ni Futuhi!
Kama ana ubinadamu huo:-
  • kwann walifanya yale ya Pemba??
  • kwann wapinzani wanaenda kutafuta hifadhi?
  • kwann mgombea wa upinzani Ruangwa alipigwa na kutekwa ofisi ya mkurugenzi siku ya kurudisha fomu?

"Thugs can't disguise their identities by acting humanely"....by Sexless.
Sexless!!
 
Back
Top Bottom