Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,200
- 4,673
Mhesh Kassimu Majaliwa amemtembea nguli huyo wa muziki Nchini almaarufu Mzee wa Kitambaa Cheupe Nyumbani kwake leo.
Duh, nilimkumbuka King Kikii na wimbo wake wa kitambaa cheupe hivi karibuniMhesh Kassimu Majaliwa amemtembea nguli huyo wa muziki Nchini almaarufu Mzee wa Kitambaa Cheupe Nyumbani kwake leo.
zilikuwaga skendo za kishamba tu mkuuHivi huyu mzee alishaupata uraia wa tz
Si inasemekana alitokeaga kongo
Ova
Pumbavu. Wasanii ni bora kuliko raia mliowaua kwa risasi na kuiba kura?Mhesh Kassimu Majaliwa amemtembea nguli huyo wa muziki Nchini almaarufu Mzee wa Kitambaa Cheupe Nyumbani kwake leo.
Ndugu yangu, shetani ili akunase, kwanza hujifanya malaika, ukishahadaika, ndipo utautambua ushetani wake.Futuhi!! Ndiyo ni Futuhi!
Kama ana ubinadamu huo:-
- kwann walifanya yale ya Pemba??
- kwann wapinzani wanaenda kutafuta hifadhi?
- kwann mgombea wa upinzani Ruangwa alipigwa na kutekwa ofisi ya mkurugenzi siku ya kurudisha fomu?
"Thugs can't disguise their identities by acting humanely"....by Sexless.
Sexless!!Futuhi!! Ndiyo ni Futuhi!
Kama ana ubinadamu huo:-
- kwann walifanya yale ya Pemba??
- kwann wapinzani wanaenda kutafuta hifadhi?
- kwann mgombea wa upinzani Ruangwa alipigwa na kutekwa ofisi ya mkurugenzi siku ya kurudisha fomu?
"Thugs can't disguise their identities by acting humanely"....by Sexless.