Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye ahamia upinzani Rasmi - Agosti 22, 2015

Siyo sumaye na wala lowasa viongozi wengi wa kitanzania hasa wazee wao kitu speech siyo ki2 mhimu, hawajui waongee nini, wapi na

kwa wakati gani. Kama umemsikiliza sumaye leo utaungana na mimi kuna tatizo kubwa katika kuongea na uma, hakika mkipata wa2

makini hamuwezi kudebate kabisa..siasa ni gharama jaribuni hata kuwatafuta watalamu wa speech wawe wanawandalia na muwe mnasimamai kwenye speech zenu.

sumaye ameongea mengi bila ya kujua lipi mhimu niongee na lipi ni siongee, hii ni mbaya sana. Kuna mambo negative hutakiwi

kuyasema, speech ya sumaye leo imeniskitisha sana, kuna wakati hata mbowe alikuwa anaumia vile...eti familia yangu haikupenda, ooohh

2010 wananchi wangepiga kura wote nchi ingenda upinzani na upinzani haukuwa imara.

Igeni kwa obama


Hovyo kabisa.
Na wewe jifunze kuandika vizuri JF kuna great thinkers uandishi wako wa sms hapa siyo mahala pake. Haya maneno ki2, wa2.
 
Kwa kuhama lowasa ni summaye kisa urais,kama ccm ilikuwa mbovu kwanini hawakuondoka mapema kumbe waliifanya ccm kuwa kichka cha urais ,wamekosa wamejionyesha kilichoko moyoni mwao,kumbe hata walikoenda wakikosa urais na vyeo watahama tena ?

Mtajijuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
CCM hana uwezo Wa kuleta maendeleo imeshindwa miaka 54 ataweza yeye?


mliowapokea walikuwa ccm wangine tangu 1977 je walikosa nafasi ya kuleta maendeleo huko? na wanaitafuta nje kama mtu amekuwa na nafasi ya uwaziri mkuu lakini hauwezi kuona kila kona ya nchi hii alichokifanya ni wa nini? utapia mlo tu,
 
Siyo sumaye na wala lowasa viongozi wengi wa kitanzania hasa wazee wao kitu speech siyo ki2 mhimu, hawajui waongee nini, wapi na

kwa wakati gani. Kama umemsikiliza sumaye leo utaungana na mimi kuna tatizo kubwa katika kuongea na uma, hakika mkipata wa2

makini hamuwezi kudebate kabisa..siasa ni gharama jaribuni hata kuwatafuta watalamu wa speech wawe wanawandalia na muwe mnasimamai kwenye speech zenu.

sumaye ameongea mengi bila ya kujua lipi mhimu niongee na lipi ni siongee, hii ni mbaya sana. Kuna mambo negative hutakiwi

kuyasema, speech ya sumaye leo imeniskitisha sana, kuna wakati hata mbowe alikuwa anaumia vile...eti familia yangu haikupenda, ooohh

2010 wananchi wangepiga kura wote nchi ingenda upinzani na upinzani haukuwa imara.

Igeni kwa obama


Hovyo kabisa.

Sioni kama alikosea kusema familia yake haikupenda, aliongea ukweli ambao hauna shida kabisa niaonanvyo mimi
 
wewe hacha porpaganda zako wapi na wapi wewe na ccm,id yako tu ni ishara tosha, wenye akili tunajua,

kati ya watangaza nia 42 lowasa na summaye ndo wanajua kuwa ccm haina haki walipokuwa mawaziri wakuuu ukosefu wa haki hawakuuona au wanatufanya sisi ni misukule,

Umemsahau prof.Mwandosya nae kasema CCM hakuna haki,mwenyekiti/KITENGO walikuja na majina yao mfukoni.
 
Mkuu hili ni tatizo la wengi hasa hapa TZ. Na hii inaanzia toka juu kabisa. Wewe angalia katika mazishi ya Mandela.
Haikuwepo haja ya kutaja eti Mandela alipewa passport ya Kitanzania na kubadirisha jina ili asafiri. Hii ilitakiwa ibaki kama ilivyo kwani viongozi wa karibu kutoka NAC na CCM/TANU walijua hayo.
Anyway, ndo wanajifunza labda

Mkuu ni kweli aisee, watu wa juu tena hawa wazee wetu na wengi wenye mamlaka na madaraka flani hivi, huwa hoja zao na mada zao zina-involve historia zaidi. Yani mtu hajengi hoja kabisa, ila anasimulia historia ilivyokuwa....
jana niliangalia kipindi cha mada moto cha chanel 10, mmoja wa wageni aliyekuwa kwenye panel kaulizwa na muongoza kipindi..
'embu tupe mawazo yako wewe unafikiri tatizo tulilonalo ni kukosa dira ya maendeleo ya uhakika na ya mda mrefu ambayo inalenga miaka mingi ijayo, kwa mfano tumesikia kilimo cha kufa na kupona,kilimo ni uti wa mgongo, kilimo kwanza.. embu tueleze tatizo ni nini'
Yani huyu mgeni alivojibu hilo swali, alianza kuelezea historia ya ukanda mzima wa east afrika ulivyotawalia na wakoloni, sijui walianza waarabu, wakawauzia wareno, sijui tanganyika ina bahati sana ikachukuliwa na wajermani alafu waingereza nao wakachukua...alafu akaendelea na historia za marahisi walioongoza tanzania....akamalizia, mpaka sasa hivi JK amefanikiwa kwa asilimia mia moja kulinda amani yetu.
 
Riz bhana,unakumbuka juzi Nape alisemaje juu ya Sumaye

Mkuu hawa wanaotumika huwa wanasahau mpaka vitu wanavyoandikaga hapa. Jitu linatoka kusoma habari kwenye magazeti ya udaku na kukurupuka kuja hapa JF kutengeneza topic za uongo. Leo anasema hiki kesho upepo ukigeuka anasema jingine.
 
Wewe uliyeandika habari hii ni mzandiki, na mnafiki unayechanganya uongo na UKWELI ili kuvuruga wana jamvi. Ukweli Sumayi kajitoa CCM ni kweli ila kwa nini na anafuata nini UKAWA anajua mwenyewe ila tusimwekee maneno mdomoni
 
Mhhhhh!!!
 

Attachments

  • 1440206034654.jpg
    1440206034654.jpg
    39 KB · Views: 96
Umemsahau prof.Mwandosya nae kasema CCM hakuna haki,mwenyekiti/KITENGO walikuja na majina yao mfukoni.

prof mwandosya kweli alikuwa anaumwa muda mrefu na hata kutaka kuacha nafasi yake lkn kwa hekima za kikwete akampa uwaziri kivuri ili abaki ikulu,ni tatizo la binadamu ni kuwa na tamaa lakini mimi kama mimi ningemshauri kitu kimoja

kwake hakuna shaka ila tatizo ni aliyempa suma akaumwa muda mrefu isinge kuwa hivyo basi yeye angepata nafasi, lawama nyingi naazipeleke kwa hilo kundi lililomuujumu kwa sumu basi,

 
Musa alizaliwa katika kabila la Waisrael lakini akalelewa na kukulia katika Ikulu ya Wamisri chini ya uongozi wa mfalme Farao. Kwa uwezo wa MWENYEZI MUNGU Musa alitoka Ikulu ya Farao na kwenda kuwakomboa Waisrael kuwatoa katika mateso ya miaka mingi. Hivyo ni sawa na Lowassa aliyelelewa Ikulu ya CCM na sasa kuhamia CHADEMA ili kuwakomboa Watanzania wanaoteseka kwa miaka mingi. Huo ni mpango wa MUNGU ambao kamwe binadamu hawezi kuubadilisha.
 
Back
Top Bottom