Kilasi Mkuu
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 2,325
- 719
Leo kama kawaida katika kipindi cha Maswali kwa waziri Mkuu,Pinda ameendelea kujibu kiwepesi maswli mazito aliyo ulizwa hasa lile la Nassary alipo ambiwa aeleze kwanini vitengo vya usalama vitesa wananchi na kuwalazimisha wakiri mambo ambayo awayajui.
Kwa mujibu wa Nassary wapo watu waliolazimishwa waseme Lema ndiye aliye husika kutupa bomu kanisani Olasiti.
Inadaiwa kijana huyo hata alibanwa sehemu za siri ili wapate kumtia hatiani mbunge Lema.Waziri mkuu licha ya kuwa ndiye mwanzilishi wa WAPIGWE TU,alikataa kueleza chochote.Huenda alihofu tafsiri iliopo ya kuwa aliidhinisha watu wapigwe tu kama vile nchi haina sheria.
Au kama vile tuko kwenye utawala wakifalme ambapo mfalme anaweza kutungia sheria barabarani na ikatekelezwa.Ni mambo yaliyo mpata hata Daudi Mwangosi aliye sambaratishwa kufumba nakufumbua na bomu bila hata kosa lolote na wahusika wasifanywe lolote.
Kumbe inaonyesha ilikuwa ina tekelezwa sheria ya Mfalme Pinda ya PIGA TU.Maana piga tu haikuelezwa wapigwe kiasi gani ilatu wapigwe hata wakifa.
Kwakweli hakutoa maelezo yoyote na kujifanya hajui wakati alisha sema WAPIGWE TU.
Kwa mujibu wa Nassary wapo watu waliolazimishwa waseme Lema ndiye aliye husika kutupa bomu kanisani Olasiti.
Inadaiwa kijana huyo hata alibanwa sehemu za siri ili wapate kumtia hatiani mbunge Lema.Waziri mkuu licha ya kuwa ndiye mwanzilishi wa WAPIGWE TU,alikataa kueleza chochote.Huenda alihofu tafsiri iliopo ya kuwa aliidhinisha watu wapigwe tu kama vile nchi haina sheria.
Au kama vile tuko kwenye utawala wakifalme ambapo mfalme anaweza kutungia sheria barabarani na ikatekelezwa.Ni mambo yaliyo mpata hata Daudi Mwangosi aliye sambaratishwa kufumba nakufumbua na bomu bila hata kosa lolote na wahusika wasifanywe lolote.
Kumbe inaonyesha ilikuwa ina tekelezwa sheria ya Mfalme Pinda ya PIGA TU.Maana piga tu haikuelezwa wapigwe kiasi gani ilatu wapigwe hata wakifa.
Kwakweli hakutoa maelezo yoyote na kujifanya hajui wakati alisha sema WAPIGWE TU.