mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,799
- 105,948
Mbona coco watakutana na uchafu balaaaHuko mtajiju wenyewe maana mmezoea kutupa uchafu hata unapolala
Ova
Mbona coco watakutana na uchafu balaaaHuko mtajiju wenyewe maana mmezoea kutupa uchafu hata unapolala
Halafu inawezekana track suits zinapendwa kuvaliwa kwakua unaificha bullet proof vizuri?
Acha kiherehere wewe, sasa kama huko Masaki ni kusafi wanasafisha nini?Huko mtajiju wenyewe maana mmezoea kutupa uchafu hata unapolala
Huko watakuja vijana wa JKT kamanda. Hao mtaelewana nao lugha vizuri. Jiandaeni kisaikolojia.Wangekuja kwetu tandale!
Ova
Hivi huyu mtu huko Dodoma alikohamia huwa anakaa huko saa ngapi? Maana kila siku yupo Dar. Ina maana hapo ni anapigwa perdiem tu za kufa mtu. Hii nchi ngumu sanaView attachment 818050
Katika kuadhimisha siku ya mashujaa leo tarehe 25 July 2018 Mh Kassim Majaliwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania atafanya usafi akishirikiana na wananchi ambao ni wakazi wa maeneo ya Coco beach. Wananchi wameshauriwa kufika Coco beach kuanzia saa 12 asubuhi.
Fedha zilizotengwa kwa ajili ya kuadhimisha siku ya mashujaa sh million 308 zimeagizwa na Rais Dr Magufuli zitumike kujenga na kuboresha miundo mbinu mkoa wa Dodoma specific jiji la Dodoma hasa hasa barabara ya Emmaus African Dream ya kilometa 1.4
Na pia Rais Magufuli aliagiza siku hiyo itumike katika kufanya usafi kwenye makaburi ambako wamezikwa mashujaa nchi nzima.
Ratiba ya kufilisi nchi siyo? Hapo analipwa yy na hao watu wake wa itifaki. Halafu mnasema wanabana matumizi. Ndiyo maana effect ya kuondoa watumishi hewa haionekana kwa sababu ya matumizi holela ya fedha kama hayaNdivyo alivyopangiwa ratiba na timu yake ya itifaki
Haya CAG......wamekusikiaRatiba ya kufilisi nchi siyo? Hapo analipwa yy na hao watu wake wa itifaki. Halafu mnasema wanabana matumizi. Ndiyo maana effect ya kuondoa watumishi hewa haionekana kwa sababu ya matumizi holela ya fedha kama haya
Unajisikia raha sana ukisonya?Haya CAG......wamekusikia
Usafi na fine juuHuko watakuja vijana wa JKT kamanda. Hao mtaelewana nao lugha vizuri. Jiandaeni kisaikolojia.
Uchafu una grade!nafikiri utakuwa umenielewaKwa nn asingeenda kufanya usafi pale soko kuu dodoma yaliko makaazi yake?