Waziri mkuu majaliwa wewe ni mtendaji mkuu wa serikali au waziri ? Matamko ya nini ?

MP CHACHANDU

JF-Expert Member
Dec 4, 2016
875
615
Jana nilisikia waziri mkuu akisema mwaka huu wa fedha 2016/17 wataajiri walimu wa sayansi na hisabati 4000 tu mwaka jana waziri mkuu alipokuwa akiongea na watumishi wa umma ilala DSM alisema serikali itaajiri walimu 71000 mwaka huu wa fedha je ? Waziri mkuu matamko haya yako yanatupa picha gani ? Sisi watanzania ? Unakuwa kama waziri wakati wewe ndoo mtendaji mkuu wa serikali ?

Waziri mkuu ulisema zoezi la uhakiki wa watumishi hewailiishe na ukatangaza kuwa limeisha halafu waziri wa utumishi wa umma akaja kusema uhakiki bado hapa na mkubwa kiutendaji ? Hivi kwanini usitumie mamlaka yako kufanya maamuzi yenye tija kwa taifa?
 
Hata yeye mwenyewe hana uhakika na asemacho....mpaka aulize kwa mkulu ndo aje huku kutuzuga...
 
Hajielewi huyo....halafu hajitambui kuwa tamisemi haiko chini yake tena ..mwenye mamlaka ya kuingilia tamisemi ni fisichawene
 
binafsi sijaona tamko lolote la wateule wa sasa ambalo linakwenda moja kwa moja kwenye utekelezaji bila kugeuzwa geuzwa au kupindishwa pindishwa.
ni kawaida ya jogoo kuwika anaposikia jogoo mwenzie anawika,hata kama ni saa 6 usiku!
 
Back
Top Bottom