comrade igwe
JF-Expert Member
- Jan 12, 2015
- 7,295
- 3,939
Wana jamvi
Salaam.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa Kassim Majaliwa amewataka watanzania wote kufichua vitendo vyovyote vya kihalifu au vinavyoashiria uhalifu popote pale kwa maana vyombo vya ulinzi na usalama vipo imara na katika hali ya utayari, Waziri Mkuu aliyasema hayo katika maadhimisho ya sikukuu ya maulidi mjini Shelui Mkoani Singida, Waziri mkuu alikemea na kumuagiza Waziri wa mambo ya ndani afuatilie na kutoa taarifa za miili saba (7) iliokutwa ndani ya viroba katika mto Ruvu Bagamoyo
Chanzo: Channel Ten
Salaam.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Majaliwa Kassim Majaliwa amewataka watanzania wote kufichua vitendo vyovyote vya kihalifu au vinavyoashiria uhalifu popote pale kwa maana vyombo vya ulinzi na usalama vipo imara na katika hali ya utayari, Waziri Mkuu aliyasema hayo katika maadhimisho ya sikukuu ya maulidi mjini Shelui Mkoani Singida, Waziri mkuu alikemea na kumuagiza Waziri wa mambo ya ndani afuatilie na kutoa taarifa za miili saba (7) iliokutwa ndani ya viroba katika mto Ruvu Bagamoyo
Chanzo: Channel Ten