johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,831
Waziri mkuu mh Majaliwa amefanya mkutano na wakuu wa mikoa wote kwa njia ya video na kuwaagiza wakague maghala ya mawakala wa saruji na wakiwakuta wamerundika mzigo wa cement wawakamate na kuwafungulia mashtaka.
Mh Majaliwa amezitaka kamati za ulinzi na usalama katika mikoa yote kuhusika katika operesheni hiyo.
Chanzo: EATV
Maendeleo hayana vyama!
Mh Majaliwa amezitaka kamati za ulinzi na usalama katika mikoa yote kuhusika katika operesheni hiyo.
Chanzo: EATV
Maendeleo hayana vyama!