Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama boss huna akili za kuongeza tija usitegemee mtumishi wa chini aongeze tija..never and ever...!!!Aliyoongea Waziri Mkuu ni sawia kabisa.Hata hivyo watumishi nao wasiishie kudai increments tu na kupandishwa madaraja,waongeze tija,jambo ambapo limekuwa kero sana kwa serikali.Hii itaipa hata serikali incentive ya kuongeza mishahara na kupandisha madaraja.
Ni kweli ufipa hawapendi maendeleo kabisa...!! Maana hii mishahara wanalipwa watumishi wa chadema na bado wanadai nyongeza...wakati inawatosha...kweli ufipa hawapendi maendeleo!Ufipa huwa hawakosi povu, wakati mwingine mkubaliane na maendeleo
Uchum umedorora daah inasikitishaYaani Majaliwa hata kudanganya hawezi jamani? Hili la Mishahara mbona kila mtu anajua kwamba JPM hana mpango wa kuongeza mishahara? na alishasema mwaka wa mwisho wa utawala ndio ataongeza mishahara. hata hivyo najua hana ubavu wa kuongeza hata senti. kwanza itakuwa ni muujiza kama ataweza kuendelea kulipa mishahara. siyo kwa mwendo huu wa kudorora uchumi
Bila shaka kuna kitu huwa unampa majaliwaAliyoongea Waziri Mkuu ni sawia kabisa.Hata hivyo watumishi nao wasiishie kudai increments tu na kupandishwa madaraja,waongeze tija,jambo ambapo limekuwa kero sana kwa serikali.Hii itaipa hata serikali incentive ya kuongeza mishahara na kupandisha madaraja.
Watakuwa wanapeana mkuu.si kwa mahaba hayaBila shaka kuna kitu huwa unampa majaliwa
Huyu jamaa nataman nmraruweWatakuwa wanapeana mkuu.si kwa mahaba haya
Hili suala ni two ways traffic, unapomwambia mtu aongeze tija lazima umpe vitendea kazi vyote vya kufanyia kazi ili uwe na uhalali wa kudai tija. Wafanyakazi wengi wa serikali ni waalimu na watumishi wa wizara ya afya...... nenda kwenye maeneo yao ya kazi ujionee hali halisi halafu uniambie hiyo tija itaongezwaje?
Ukweli utasemwa siku zote hata kama watu hamuupendi.Bila shaka kuna kitu huwa unampa majaliwa
Ukweli utasemwa siku zote hata kama watu hamuupendi.
Siwezi kamwe kuwapaka mafuta kwa mgongo wa chupa.Lipi nimesema hapo ambapo sio logic.Tatizo la Watanzania ni kwamba mnapenda kupindisha pindisha sana mambo.
Aliyoongea Waziri Mkuu ni sawia kabisa.Swala la kuongezwa mshahara ni siri ya mtu.Ni kweli pia kwamba nyongeza za mishahara zikitangazwa hadharani,bei zinapanda mno mpaka kufikia hata kiwango cha ku-nullify hiyo nyongeza yenyewe.Haya tumeyaona huko nyuma.
Hata hivyo watumishi nao wasiishie kudai increments tu na kupandishwa madaraja,waongeze tija,jambo ambalo limekuwa kero sana kwa serikali.Hii itaipa hata serikali incentive,morale na enthusiasm ya kuongeza mishahara na kupandisha madaraja.