NAKEMBETWA
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 3,518
- 3,130
4000???
Yaan waliomaliza 2015 na 2016 , Diploma na degree ni elfu 4 tu???
Yaan waliomaliza 2015 na 2016 , Diploma na degree ni elfu 4 tu???
I used to, but now only herbWewe ni mtumiaji wa shisha nn?? Angalia utapotea
Walikataza kuizungumzia hyo mkuufaru john, hata haongelewi siku hizi,
Kazi kweli kweli!Wale wa arts tujiuze auu
Unafurahi waalimu wa sanaa kutoajiriwa au hujasoma vizuri taarifa mkuu
nimependa jina lako mtoto mtamuu.Wale wa arts tujiuze auu
Si ndio watu wajifunze 2020Unafurahi waalimu wa sanaa kutoajiriwa au hujasoma vizuri taarifa mkuu
Naweka odaWale wa arts tujiuze auu
Ni zamu ya wanasayansiDah, Ngwini wananyanyapaliwa kila kona!