Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,601
- 94,726
Afadhali waturudishie Fast Jet yetu walio ifanyia figisuUnanunua midege kwa cash huku hela ya kununua dawa huna na hizo ndege zikupe faida sasa mapema hakuna...tunahitaji miaka 20 kuanza kuona other econimic benefits ya hizi ndege suala la direct financial profit kwa Africa tusahau labda miaka 200 ijayo...