Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,778
- 6,090
Mhe, Rais niliojitihada zako za kuratibu na kujenga miradi yote ulionza nayo na Hayati Magufuli, na uliniita ukaniambia tumeachana mzigo huu ni wetu sote pamoja na watanzania, ni lazima tutekeleza ili miradi hii kukamilika.
Soma Pia: Uzinduzi wa Daraja la Magufuli (Kigongo-Busisi) - Juni 19, 2025
Mhe, Rais hatua miradi hii ilipofikiwa ilikuwa asilimia ya kuanzaia. Mhe Rais ulianza kutafuta pesa ndani na nchi na kote dunia na ukafanikiwa ukaanza kuijenga, wewe unamapenzi mema kwa nchi hii, na kwa Watanzania.
Soma Pia: Uzinduzi wa Daraja la Magufuli (Kigongo-Busisi) - Juni 19, 2025
Mhe, Rais hatua miradi hii ilipofikiwa ilikuwa asilimia ya kuanzaia. Mhe Rais ulianza kutafuta pesa ndani na nchi na kote dunia na ukafanikiwa ukaanza kuijenga, wewe unamapenzi mema kwa nchi hii, na kwa Watanzania.