PreGE2025 Waziri Mkuu Majaliwa: Rais Samia hapaswi kupata shida sisi tukiwepo

PreGE2025 Waziri Mkuu Majaliwa: Rais Samia hapaswi kupata shida sisi tukiwepo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,878
Reaction score
16,311
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi na Watanzania kwa ujumla kuendeleza kauli ya kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa awamu nyingine ya uongozi, akisisitiza kuwa kauli ya "Mitano Tena kwa Dkt. Samia" inapaswa kutoka moyoni na kutekelezwa kwa vitendo.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Akiongea wakati wa kikao na Wajumbe wa Jumuiya za CCM pamoja na Wazee wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi, Majaliwa amesema kuwa Rais Samia ni Kiongozi wa kipekee anayestahili heshima, shukrani na uungwaji mkono wa hali ya juu kutokana na mchango wake mkubwa katika maendeleo ya Ruangwa na Taifa kwa ujumla.

"Ni muhimu sana, Rais Samia ni Mtu muhimu sana, huyu ni Mtu wa kumshukuru, kwa namna yoyote ile hapaswi kupata shida sisi tukiwepo"

"Ruangwa ni ya Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na kijana wake Kassim Majaliwa, kama kufa, tufe wote, kama kuvuka, tunavuka wote"

 

Attachments

  • 1747031422483.png
    1747031422483.png
    915.9 KB · Views: 26
hizi ni ngonjera tu za kulinda matumbo yao

ngoja siku atoke hapo alipo ndiyo atajua alikuwa anapendwa kiasi gani.
 
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi na Watanzania kwa ujumla kuendeleza kauli ya kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa awamu nyingine ya uongozi, akisisitiza kuwa kauli ya "Mitano Tena kwa Dkt. Samia" inapaswa kutoka moyoni na kutekelezwa kwa vitendo.

Akiongea wakati wa kikao na Wajumbe wa Jumuiya za CCM pamoja na Wazee wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi, Majaliwa amesema kuwa Rais Samia ni Kiongozi wa kipekee anayestahili heshima, shukrani na uungwaji mkono wa hali ya juu kutokana na mchango wake mkubwa katika maendeleo ya Ruangwa na Taifa kwa ujumla.

"Ni muhimu sana, Rais Samia ni Mtu muhimu sana, huyu ni Mtu wa kumshukuru, kwa namna yoyote ile hapaswi kupata shida sisi tukiwepo"

"Ruangwa ni ya Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na kijana wake Kassim Majaliwa, kama kufa, tufe wote, kama kuvuka, tunavuka wote"
View attachment 3324128
Kijana.....?!
 
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi na Watanzania kwa ujumla kuendeleza kauli ya kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa awamu nyingine ya uongozi, akisisitiza kuwa kauli ya "Mitano Tena kwa Dkt. Samia" inapaswa kutoka moyoni na kutekelezwa kwa vitendo.

Akiongea wakati wa kikao na Wajumbe wa Jumuiya za CCM pamoja na Wazee wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi, Majaliwa amesema kuwa Rais Samia ni Kiongozi wa kipekee anayestahili heshima, shukrani na uungwaji mkono wa hali ya juu kutokana na mchango wake mkubwa katika maendeleo ya Ruangwa na Taifa kwa ujumla.

"Ni muhimu sana, Rais Samia ni Mtu muhimu sana, huyu ni Mtu wa kumshukuru, kwa namna yoyote ile hapaswi kupata shida sisi tukiwepo"

"Ruangwa ni ya Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na kijana wake Kassim Majaliwa, kama kufa, tufe wote, kama kuvuka, tunavuka wote"
View attachment 3324128
Huyu amehadiwa tena Uwaziri Mkuu , nia yake ya kumuondoa Samia imeshindikana anaongea kinafiki tu anajua kabisa moyoni mwake hampendi Samia..Aje atuambie hapa kwa nini walimuondolea walinzi wake baada ya kufanya kikao kule nga'mbo.
 
Kwan. Anapata shida inamaana waziri hajui watu wa ruangwa ndo wanapata shida
 
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi na Watanzania kwa ujumla kuendeleza kauli ya kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa awamu nyingine ya uongozi, akisisitiza kuwa kauli ya "Mitano Tena kwa Dkt. Samia" inapaswa kutoka moyoni na kutekelezwa kwa vitendo.

Akiongea wakati wa kikao na Wajumbe wa Jumuiya za CCM pamoja na Wazee wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi, Majaliwa amesema kuwa Rais Samia ni Kiongozi wa kipekee anayestahili heshima, shukrani na uungwaji mkono wa hali ya juu kutokana na mchango wake mkubwa katika maendeleo ya Ruangwa na Taifa kwa ujumla.

"Ni muhimu sana, Rais Samia ni Mtu muhimu sana, huyu ni Mtu wa kumshukuru, kwa namna yoyote ile hapaswi kupata shida sisi tukiwepo"

"Ruangwa ni ya Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na kijana wake Kassim Majaliwa, kama kufa, tufe wote, kama kuvuka, tunavuka wote"
View attachment 3324128
Sasa hivi ulimi unakuwa mgumu kutamka
 
Majaliwa mwenyewe ni shetani mkubwa. Kama Ruangwa wameamua kubakia na huyo shetani, shauri yao.

Huyu shetani ndiye alimteka mpinzani wake kwenye uchaguzi wa 2020 ili yeye atangazwe amepita bila kupingwa.

Watanzania mwaka huu ni wa mapambano, mashetani yote yaondolewe. Tuwe na watu safi.
 
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi na Watanzania kwa ujumla kuendeleza kauli ya kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa awamu nyingine ya uongozi, akisisitiza kuwa kauli ya "Mitano Tena kwa Dkt. Samia" inapaswa kutoka moyoni na kutekelezwa kwa vitendo.

Akiongea wakati wa kikao na Wajumbe wa Jumuiya za CCM pamoja na Wazee wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi, Majaliwa amesema kuwa Rais Samia ni Kiongozi wa kipekee anayestahili heshima, shukrani na uungwaji mkono wa hali ya juu kutokana na mchango wake mkubwa katika maendeleo ya Ruangwa na Taifa kwa ujumla.

"Ni muhimu sana, Rais Samia ni Mtu muhimu sana, huyu ni Mtu wa kumshukuru, kwa namna yoyote ile hapaswi kupata shida sisi tukiwepo"

"Ruangwa ni ya Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na kijana wake Kassim Majaliwa, kama kufa, tufe wote, kama kuvuka, tunavuka wote"
View attachment 3324128
Go and rest ! Useless Prime Minister in history!
 
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ametoa wito kwa Wananchi wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi na Watanzania kwa ujumla kuendeleza kauli ya kumuunga mkono Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa awamu nyingine ya uongozi, akisisitiza kuwa kauli ya "Mitano Tena kwa Dkt. Samia" inapaswa kutoka moyoni na kutekelezwa kwa vitendo.

Akiongea wakati wa kikao na Wajumbe wa Jumuiya za CCM pamoja na Wazee wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi, Majaliwa amesema kuwa Rais Samia ni Kiongozi wa kipekee anayestahili heshima, shukrani na uungwaji mkono wa hali ya juu kutokana na mchango wake mkubwa katika maendeleo ya Ruangwa na Taifa kwa ujumla.

"Ni muhimu sana, Rais Samia ni Mtu muhimu sana, huyu ni Mtu wa kumshukuru, kwa namna yoyote ile hapaswi kupata shida sisi tukiwepo"

"Ruangwa ni ya Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na kijana wake Kassim Majaliwa, kama kufa, tufe wote, kama kuvuka, tunavuka wote"
View attachment 3324128
Kufia nn si kuna katiba?
 
Back
Top Bottom