Waziri Mkuu Majaliwa naomba kuwafukuza kazi Wacheleweshaji wa Machinjio ya Vingunguti

Bila kutambua kuwa adui namba moja wa nchi hii ni CCM, hatutasonga mbele kamwe.
CCM Chanzo Cha Matatizo
Adui mkubwa namba moja wa nchi hii ni sisi wananchi wenyewe; ccm ni sehemu ndogo sana kwenye wingi mkubwa wetu wananchi.
Wanaohujumu miradi ya maendeleo ni sisi wenyewe!
Wanaoshangilia miradi ikihujumiwa ni sisi wenyewe!
Wanaorusha lawama kwa viongozi miradi inapohujumiwa ni sisi hao hao wahujumu!
Adui yetu ni sisi wenyewe, tukiamua kuacha kujiadui wenyewe ccm hawawezi kutulazimisha.
 
What is econonic pattern? And what is political economy?
What are the similarities and differences between two of them?
Duh! Mkuu mbona unaniuliza maswali magumu sana. Nasikitika kukufahamisha kuwa mimi majibu ya maswali yako ya nadharia ya kwenye vitabu vilivyoandikwa na caucasians sina, ila nitakacho weza kukuambia ni kwamba uchumi wanaouzungumzia wenzako ni ule wa kumkamua ng'ombe maziwa bila yeye kupewa chakula ili azalishe maziwa mengi.

Mzungu anatengeneza Roboter ili zifanye kazi za viwandani ili azalishe products kwa wingu na kuziuza kwa bei nafuu. Lengo lake ni utajiri wa kupindukia. Maisha ya watu au jamii sio concern yake.

Hii idea theoretically ina sound very good, lakini ukija kwenye practice hii model ina feli, kwasababu moja rahisi sana, gari haliwezi likanunua gari jingine, kwa maana nyingine, watu wanahitajika watakao nunua hilo gari.

Sasa kama watu wanaotakiwa kuyanunua hayo magari na products nyingine nyingi zinazo zalishwa hawana kazi, ina maana kuwa hawatakuwa na kipato na bila kipato, huwezo wa kunua hizo products zinazotengenezwa na hayo ma-roboter unakosekana. Kwa hiyo hii ni kusema kwamba paka anauuma mkia wake badala ya kusaka panya ambao hawapo. It is absurd!

Siku za hivi karibuni nilimsikia Rais Samia Suluhu Hassan, akiwa njiani kwenye ziara zake anazo zifanya, akisema kuwa kuna wawekezaji wanataka kuja, ambao watawekeza kwenye mashamba makubwa, nilicheka sana niliposikia hii kauli. Mimi nilijiuliza hivi Rais anashauliwa vizuri kweli? Au anadanganywa na watu wanao fanya lobbying?

Ninachojua mimi ni kwamba wakulima wakubwa sio watoa ajira, kwasababu mazao mengi hulimwa, kutia dawa, kutia mbolea na kuvunwa kwa mashine. Ni idadi ndogo sana ya ajira inatokana na hao Farmers.

Nikiwa Europe nimeshuhudia family Farmers wakiwa na mashamba tofauti ya mazao pia ng'ombe wa maziwa. Kazi zote za kulima, kupanda, kutia mbolea na kuvuna zinafanywa na watu watano tu, bama Mama, watoto wawili na pengine mfanyakazi mmoja tu.

Sasa niambie hiyo economic patern na similarities ulizo crame darasani wapi na wapi? Kijana acha kuweweseka na theories ambazo hazita kusaidia kitu. Jaribu kuwa pragmatic. Unakuja na maswali ya theories ambazo hazi-work. Naomba jiulize wewe mwenyewe, kwanini wachina wengi wanataka kuja Afrika? Na impact yake ni nini in terms of population in relation to Land.

Watu wanaongezeka lakini ardhi haiongezeki. Je hii unaitfsiri vipi? Future yako na ya vizazi vyako badae ikoje?
 
Adui mkubwa namba moja wa nchi hii ni sisi wananchi wenyewe; ccm ni sehemu ndogo sana kwenye wingi mkubwa wetu wananchi.
Wanaohujumu miradi ya maendeleo ni sisi wenyewe!
Wanaoshangilia miradi ikihujumiwa ni sisi wenyewe!
Wanaorusha lawama kwa viongozi miradi inapohujumiwa ni sisi hao hao wahujumu!
Adui yetu ni sisi wenyewe, tukiamua kuacha kujiadui wenyewe ccm hawawezi kutulazimisha.
Asante mkuu kwa mchango wako mzuri. Nimeupenda sana.
 
Kwani nani amekwambia kua pesa zote zimeshatilewa na serikali? au unataka machinjio ijengwa kwa pesa ya nani?

Shida kubwa inayotuumiza sisi watanzania ni kutokuthaminiwa sisi wakandarasi wa ndani na viongozi wa serikali. Mkandarasi wa nje akisema bei halisia wa mradi husika anapewa mkataba na mkataba wake unaheshimika lakini inapokuja suala la wakandarasi wetu wa ndani hasahasa wakandarasi wa taasisi za umma; wakitaja bei halisia wanakataliwa na kuambiwa ni wezi na wapigani then haohao viongozi wanasema ujenzi uanze haraka sana...mwisho wa siku kazi haziishi.

Changamoto ninayoiona hapo Vingunguzi ni kua ubunifu haijupewa muda ili vitu vingi viangaliwe kwa undani na upana pamoja na gharama halisia; sasa fikiria mradi unaogharimu zaidi ya 10bilioni inaamuliwa na kiongozi leo na kesho watu wanatakiwa kuanza ujenzi...viongozi kwanza wabadilike.

Leo mtoa mada unazungumzia kuchelewa kwa machinjio ya vingunguti kisa unajengwa na kampuni ya kitanzania au? rudi ukaangazie mradi wa bwawa la umeme la mwl Nyerere, SGR na daraja la Salander utuambie wao kwanini wako nyuma ya muda na kelele hazisikiki?

Viongozi wetu waache double standard kwa wakandarasi.
 
Back
Top Bottom