Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,615
Huyu mzee ni tapeli usimwamini hata siku moja
sio umbeya mzee ...wengine hapa ni Watumishi sio kila anauliza ana jokeAcha 'Umbea' tena ukiwa 'Dume' hivyo.
Dume zima unaogopa kupima ngomaUkimwi upo mwingi sana...hadi kupima watu tunaogopa
Huko kwa Mpalange inaelekea kuna mademu wazuri wazuri mpaka wao wanafanya kwa buku mbili huku huko Mbagala,Buguruni na Sugar Ray wakifanya buku bukuViongozi wa Tanzania kiboko.
Wanakuambia nchi iko uchumi wa Kati wakati watu hawana hela na wengi wanakula mlo mmoja kwa siku. Wafanyakazi wa viwandani hasa vya wachina na wahindi wanapokea chini ya laki tatu. Unaambiwa uchumi wa Kati.
Ukienda Sinza, Mboka Buguruni, sugar Ray na Mbagala ngono Ni buku kwa Mpalange buku mbili...huku unaambiwa ukimwi umepungua.
Leo unaweza ukaambiwa hakuna mvua wakati binafsi inakunyeshea na maji yamejaa ndani kwako.
Sasa kama mnaogopa kupima mnajuaje ni mwingi sana😂😂😂😂Ukimwi upo mwingi sana...hadi kupima watu tunaogopa
Ah wacha kutisha watu. Ngoma kitu gani bwana wewe...mtiti upo kwenye kuugua kisukari bwana. Bora nipate ngoma lakini sio kisukari.Ila ukweli ni kuwa ujio wa Corona umefanya watu wengi kuusahau ukimwi hivyo kujiendea ovyo tu kama mambwa koko. Ngoma ipo na ipo sana,na huu ndiyo ukweli wenyewe,au nasema uongo ndugu zangu?
Na Vyuma kukaza vimesababisha mizigo ijilete huku imeshika chupi mikononi