MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Hakuna Watu ambao KEROZENE nawajua vyema ( hasa kwa mbinu na tamaduni zao ) kama akina Bandeko Nangai Wakongo ( zamani Wazaire )
Leo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Katibu Mkuu wa Wizara mpya ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Hassan Abbas mmenishangaza hasa pale mlipofanya Jambo la Kishamba, cha Kipuuzi na kisicho cha Kiufundi cha kwenda na Viti vyenu na Kukaa pembezoni mwa Uwanja mkishuhudia Mazoezi ya Timu ya Taifa ya Tanzania ( Taifa Stars )
Mlichonishangaza zaidi kwa Kutumia Madaraka yenu na Uandamizi wenu mkubwa Serikalini mmeagiza Waganga wengi wa Kienyeji ili waicheze Kishirikina hii Mechi mkisahau kuwa Afrika nzima Makao Makuu ya Uchawi ( Ndumba ) ni Congo DR na Congo Brazaville wakifuatiwa kwa ukaribu na Wanaijeria, Wasenegali, Wakameruni na Waafrika Kusini.
Hongereni Serikali ( hasa Waziri Mkuu Majaliwa na Katibu Mkuu Dk. Abbas ) kwa kufanya na kutengeneza Hamasa ya Kisiasa na Kinafiki zaidi huku mkimdanganya Bibie anayesafiri Cairo na Wamisri Kesho kuwa Tanzania itafuzu 2022 FIFA QATAR WORLD CUP kisha 'mkimpiga' Pesa ambazo mnasema ni za Maandalizi dhidi ya Congo DR na Madagascar kwa Kujiimarisha kwa Ustawi wenu.
Hamtoamini hiyo Alhamisi kwa Mkapa!!!
Leo Waziri Mkuu Kassim Majaliwa na Katibu Mkuu wa Wizara mpya ya Utamaduni, Sanaa na Michezo Dk. Hassan Abbas mmenishangaza hasa pale mlipofanya Jambo la Kishamba, cha Kipuuzi na kisicho cha Kiufundi cha kwenda na Viti vyenu na Kukaa pembezoni mwa Uwanja mkishuhudia Mazoezi ya Timu ya Taifa ya Tanzania ( Taifa Stars )
Mlichonishangaza zaidi kwa Kutumia Madaraka yenu na Uandamizi wenu mkubwa Serikalini mmeagiza Waganga wengi wa Kienyeji ili waicheze Kishirikina hii Mechi mkisahau kuwa Afrika nzima Makao Makuu ya Uchawi ( Ndumba ) ni Congo DR na Congo Brazaville wakifuatiwa kwa ukaribu na Wanaijeria, Wasenegali, Wakameruni na Waafrika Kusini.
Hongereni Serikali ( hasa Waziri Mkuu Majaliwa na Katibu Mkuu Dk. Abbas ) kwa kufanya na kutengeneza Hamasa ya Kisiasa na Kinafiki zaidi huku mkimdanganya Bibie anayesafiri Cairo na Wamisri Kesho kuwa Tanzania itafuzu 2022 FIFA QATAR WORLD CUP kisha 'mkimpiga' Pesa ambazo mnasema ni za Maandalizi dhidi ya Congo DR na Madagascar kwa Kujiimarisha kwa Ustawi wenu.
Hamtoamini hiyo Alhamisi kwa Mkapa!!!