guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,755
hao watumishi wacha waisome namba,waliiba kura
Ya UDSM mkuu.sema ina viraka vingi😂😂😂😂😂Wanasiasa wanawaona watumishi ni bogus tu..
Kura zenu laki 5, hata msipotupigia tutashinda.
Leo wanawaonea huruma kupandishiwa bei. Kweli sukari ianze tu kuwa tshs 4,000 kwa sababu ya mtumishi ameongezewa tshs 8,000?
Hawa viongozi wetu wanaelimu ya wapi?
Wala haina shida mkuu, ni swala la muda tu, ukifika utaelewa tu na mada italeta ijadiliwe.Ahaaa, kwamba mimi nilitetea watumishi kutokuongezwa mishahara tena kwa sababu zisizo na mashiko kama hizi? Pitia record zako.