Waziri Mkuu Majaliwa, kweli tangu awamu ya tano iingie madarakani gharama za maisha hazijapanda? Kuwa na huruma kwa Watumishi wa Umma

Viongozi wa kiafrika huwa hawana utu wala kufikiria wengine!!! Chamuhimu yeye anakula,anajenga anaheshimiwa na kutetemekewa basi kwake hilo linatosha...anachojali ni kutetea ujinga wowote toka kwa mkuu wake wakazi na kwa style hii watumishi waumma na serikali wahesabu miaka mingi ya umaskini,kukata tamaa,tabu,njaa na madeni lukuki maana hayo humfurahisha kiongozi wao mkuu naye hujionea fahari pale wanapolialia shida huku yeye akibeua kwa kushiba kulikopitiliza. Next time tujifunze kuchagua kiongozi anayeweka mbele utu wawatu anaoongoza kabla ya sifa binafsi
 
Dawa ni kujilipa tu kama uko kwenye mfereji. Kama hauko kwenye mfereji basi iba muda fanya business au kilimo.
Hivi ukikopa pesa then unaomba likizo ya kwenda kuperesheni mabusha atapinga nani?
 
Nimeiuliza ile Id yako nyingine naona unajibu na hii! Au ni haraka ya kujibu?
Tuliza akili Kamanda,tunajadili mustakabali wa taifa letu,watishi wa umma ni muhimu kuongezwa mishahara. Huyo unaemuuliza ni haki yake pia kuchangia japokuwa unaleta fitina za kiswahili kama mchawi.
 
Tuliza akili Kamanda,tunajadili mustakabali wa taifa letu,watishi wa umma ni muhimu kuongezwa mishahara. Huyo unaemuuliza ni haki yake pia kuchangia japokuwa unaleta fitina za kiswahili kama mchawi.

Lazima nizivuruge hizi Id zilizokuwa zinawashabikia wezi wa kura, kisha saa hii wananchi wanateswa na hao wezi wa kura, halafu zinajifanya kushangaa uhuni unatoka wapi.
 
Kwamba Ccm haikuchaguliwa na wananchi? Ndio sababu haiongezi mishahara? Mbona Jakaya,Mkapa (Rip) Mwinyi na JKN waliongeza mishahara?

Wao waliiba kw akili ndio maana waliongezea wananchi mishahara. Huyu mlevi wa madaraka yeye alinajisi jumla uchaguzi ili aendelee kujali vitu na sio watu.
 
Wao waliiba kw akili ndio maana waliongezea wananchi mishahara. Huyu mlevi wa madaraka yeye alinajisi jumla uchaguzi ili aendelee kujali vitu na sio watu.
Mimi mpaka sasa suala la wizi sina imani nalo kabisa,bali nakubali kuna mapungufu juu ya kutatua kero za wananchi. Nilipiga kura na niliona zoezi likiwa wazi na ukweli. Maana nilipiga kura na kisha kwenda home.
 
Mimi mpaka sasa suala la wizi sina imani nalo kabisa,bali nakubali kuna mapungufu juu ya kutatua kero za wananchi. Nilipiga kura na niliona zoezi likiwa wazi na ukweli. Maana nilipiga kura na kisha kwenda home.

Ule haukuwa uchaguzi, bali maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura fullstop.
 
Ikiwa wewe chagu wa malunde unalalamika leo. Mbona ulikuwa ukijisikia vibaya haya haya wakikosoa akina CHADEMA?! Huu utakuwa ni unafiki. Wakikosoa Wapinzani mnawaka Ila ukikosoa wewe tuone kawaida.

Serikali hii ya awamu ya tano, vipaumbele vyake hata nyinyi makada hamvielewi. Na wala masilahi ya wananchi si vipaumbele vyao. Akili ya hao ni jinsi gani watakavyodumu madarakani . Hata kama mshahara usiongezwe . They don't care . Wanavyo vyombo vya dola na vya maamuzi.
 
We fala mbona huwa unafuatilia wanaume humu Jeifu? Mimi ndio huyu bwege mwenzako?
Ukitukana ndiyo uonekane una uzalendo ?!. Ujinga nao ni kipaji . Na Lumumba wamefanikiwa kuwa na rundo la wajinga . Huhitaji kumshambulia mtu kisa cha itikadi
 
Ikiwa wewe chagu wa malunde unalalamika leo. Mbona ulikuwa ukijisikia vibaya haya haya wakikosoa akina Cdm ?! Huu utakuwa ni unafiki. Wakikosoa wapinzani mnawaka Ila ukikosoa wewe tuone kawaida.

Serikali hii ya awamu ya tano, vipaumbele vyake hata nyinyi makada hamvielewi. Na wala masilahi ya wananchi si vipaumbele vyao. Akili ya hao ni jinsi gani watakavyodumu madarakani . Hata kama mshahara usiongezwe . They don't care . Wanavyo vyombo vya dola na vya maamuzi.
Jaduong kukosoa serikali kuwe kwa hoja,je Cdm walikosoa kwa hoja?
Hatima ya Ccm kukaa madarakani ipo mikononi mwa wananchi. Vyombo vya dola haviwezi kuzidi nguvu ya wananchi,masuala madogo kama nyongeza ya mishahara yanarekebishika.
 
2025 sijui tutapata raisi wa namna gani? Ni bora atoke upinzani ilii haya mambo ya mishahara,bodi ya mikopo ,ajira n.k ayaweke sawaaa ili ccm wajifunze .ilaa kama watarudi ccm hawa hawa ,hakuna mabadiliko labda awe kikwete ndo atafanya .
 
Jaduong kukosoa serikali kuwe kwa hoja,je Cdm walikosoa kwa hoja?
Hatima ya Ccm kukaa madarakani ipo mikononi mwa wananchi. Vyombo vya dola haviwezi kuzidi nguvu ya wananchi,masuala madogo kama nyongeza ya mishahara yanarekebishika.
Wananchi gani ?! Usinichekeshe. Hawa ambao kura zao si muhimu kwa Ccm na serikali zake !!!
 
Back
Top Bottom