johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,750
- 139,549
Waziri mkuu mh Majaliwa ameunda kamati itakayosimamia fedha ya COVID-19 iliyotolewa na IMF jumla ya tsh 1.3 trillion.
Mwenyekiti ni mh Jenister Mhagama.
Wajumbe ni Dr Ndumbaro, Mh Ummy Mwalimu, Prof. Kitilla Mkumbo, Dr Mwigullu Nchemba, Dr Gwajima na Mh Awesu.
Mh Majaliwa ameonya kuwa isitolewe hata senti 5 katika fedha hizi kwa ajili ya kulipana posho kwa namna yoyote ile.
Chanzo: ITV habari
Mwenyekiti ni mh Jenister Mhagama.
Wajumbe ni Dr Ndumbaro, Mh Ummy Mwalimu, Prof. Kitilla Mkumbo, Dr Mwigullu Nchemba, Dr Gwajima na Mh Awesu.
Mh Majaliwa ameonya kuwa isitolewe hata senti 5 katika fedha hizi kwa ajili ya kulipana posho kwa namna yoyote ile.
Chanzo: ITV habari