Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,902
- 95,190
Wewe mbeba maboxDah!
Huko bandarini waniweke mimi niwanyooshe tu!
Wewe mbeba maboxDah!
Huko bandarini waniweke mimi niwanyooshe tu!
Wanataka kutusahaulisha yaliyojitokeza kwenye chaguzi za madiwaniNyie nao na Kiki zenu tumewachoka
Dah!
Huko bandarini waniweke mimi niwanyooshe tu!
Brother wewe haya mambo ya kikubwa huwezi kuyaelewa. Waache watu wenye weredi wayajadili. Waziri mkuu hawezi kutengeneza episode na hakuna kitu kama hicho. PM ni kiongozi wa serikali kama hufahamu. Anajua anachofanya. Watanzania mna safari ndefu sana ya maendeleo maana hamjitambui mmelala fofofo. Poleni sana. Watu wanahangaika kuwasaidia lakini ndiyi mmelalaYaani ni maigizo. Tizama Waziri Mkuu anavyokazana kuonesha yuko serious. Kumbe hata uhakika kwamba Ofisi ya Waziri Mkuu imetumika kutorosha malori hana. Ndio kwanza anaagiza jamaa wakatoe maelezo.
Yani toka mwaka 2015, mzigo upo bandarini tu??? Yani miaka miwili iliyopita?
Brother wewe haya mambo ya kikubwa huwezi kuyaelewa. Waache watu wenye weredi wayajadili. Waziri mkuu hawezi kutengeneza episode na hakuna kitu kama hicho. PM ni kiongozi wa serikali kama hufahamu. Anajua anachofanya. Watanzania mna safari ndefu sana ya maendeleo maana hamjitambui mmelala fofofo. Poleni sana. Watu wanahangaika kuwasaidia lakini ndiyi mmelala
Naona umenielewa,nimeweka mlolongoKumuombea tu hakutasaidia sana, ni lazima yeye mwenyewe ajenge system itakayofanya kazi. Kwa mfano pale mkuu anapoonekana kumlinda na kumsifia sana mtu, anamfanya awe untouchable na wengine wanatumia mwanya huo kupiga deal tu, kama anavyosema mwenyewe sheria ni msumeno basi vyeti fake visingechagua, Angalia uvamizi wa clouds, wala hapakuwapo issue ya serikali, lakini mtu akalindwa tu Nape (ccm damu) akatemwa - unategemea nini?
Rais wetu huenda akalia sana na pengine kushikwa hata pressure, nilimhurumia sana juzi pale bandalini, anasema mpaka anafika mwisho maana hata aliowateua wanaonekana kutomsaidia - kwanini - the system is not working, imebaki mtu mmoja au wawili kama ulivyosema kwenye article yako!
Ikulu kuna watu wengi hata wafanya usafi wapoNa wale waliotumia taasisi ya IKULU nao vipi wanafahamiana na mwenye nyumba wetu ?
Awamu ya wasanii