dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema Hospitali ya Wilaya ya Kibaha iliyotengwa kwa ajili ya kuwahudumia watu watakaogundulika na kuwa na maambukizi ya COVID19 ni kituo cha tatu
Vituo vingine ni Temeke Isolation and Treatment Centre, Treatment Centre karibu na Hospitali ya Mloganzila. Amesisitiza kuwa Temeke bado hakujajaa
Hospitali hiyo ya Kibaha ilitembelewa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Jumamosi Machi 28, 2020 ambaye alibainisha kuridhishwa na maaandalizi