Waziri Mkuu Majaliwa ana maana gani kusema Rais Samia atakuwa Rais hadi 2030?

Kauli hii kutoka kwa Waziri Mkuu akiwa kwenye uzinduzi wa mpango wa maendeleo na kampeni ya UVIKO ni ya kufikirisha sana sana, ametangaza kuwa Rais Samia atakuwa Rais wa Tanzania mpaka 2030, binafsi na laani kauli hii na inafanya wapenda Democrasia na Maendeleo wawe na maswali mengi sana ya kufikirisha, je mfumo wa upigaji kura na uvamizi utakuwa kama ule wa Mwaka 2020? maana hili tu pekee ndio laweza kufanikisha swala hili.

Inasikitisha sana sana sana kwa yeye kutoa tamko kama hili, je nchi hii mmiliki wake ni nani, je wananchi wanachukuliwaje au sati zao zinapokelewaje kwenye kupiga kura kama kina nani kama wasio faa au hawana mamlaka ya kumpa kura mwingine yeyote yule? TAFAKARI kuna kitu lazima. ila tufahamu tu kwamba Mwenyezi Mungu ni wa kila mtanzania na ndiye huamua nini kifanyike na nini kisifanyike.
Ndo zao Hawa utadhani wao ni Mungu, tulionya Sana Mambo Kama haya kipindi Cha mwendazake
 
Kauli hii kutoka kwa Waziri Mkuu akiwa kwenye uzinduzi wa mpango wa maendeleo na kampeni ya UVIKO ni ya kufikirisha sana sana, ametangaza kuwa Rais Samia atakuwa Rais wa Tanzania mpaka 2030, binafsi na laani kauli hii na inafanya wapenda Democrasia na Maendeleo wawe na maswali mengi sana ya kufikirisha, je mfumo wa upigaji kura na uvamizi utakuwa kama ule wa Mwaka 2020? maana hili tu pekee ndio laweza kufanikisha swala hili.

Inasikitisha sana sana sana kwa yeye kutoa tamko kama hili, je nchi hii mmiliki wake ni nani, je wananchi wanachukuliwaje au sati zao zinapokelewaje kwenye kupiga kura kama kina nani kama wasio faa au hawana mamlaka ya kumpa kura mwingine yeyote yule? TAFAKARI kuna kitu lazima. ila tufahamu tu kwamba Mwenyezi Mungu ni wa kila mtanzania na ndiye huamua nini kifanyike na nini kisifanyike.
Ubwege wa kijikomba uwaziri mkulu wa miaka 10 , uzuzu kama uzuzu wa chura
 
Kauli hii kutoka kwa Waziri Mkuu akiwa kwenye uzinduzi wa mpango wa maendeleo na kampeni ya UVIKO ni ya kufikirisha sana sana, ametangaza kuwa Rais Samia atakuwa Rais wa Tanzania mpaka 2030, binafsi na laani kauli hii na inafanya wapenda Democrasia na Maendeleo wawe na maswali mengi sana ya kufikirisha, je mfumo wa upigaji kura na uvamizi utakuwa kama ule wa Mwaka 2020? maana hili tu pekee ndio laweza kufanikisha swala hili.

Inasikitisha sana sana sana kwa yeye kutoa tamko kama hili, je nchi hii mmiliki wake ni nani, je wananchi wanachukuliwaje au sati zao zinapokelewaje kwenye kupiga kura kama kina nani kama wasio faa au hawana mamlaka ya kumpa kura mwingine yeyote yule? TAFAKARI kuna kitu lazima. ila tufahamu tu kwamba Mwenyezi Mungu ni wa kila mtanzania na ndiye huamua nini kifanyike na nini kisifanyike.
Una mke nyumbani? Kama unaye, ukimsikia kwa mfano anasema kuwa "nitakuzalia watoto watatu" utamwelewaje?
Waziri Mkuu amesema Mama "atakuwa"; hajasema kuwa "Mama ni Rais mpaka 2030". Ebu tunaomba Walimu wa Kiswahili wawahi huku kwa ajili ya msaada zaidi.
Kwani kwa mfano, mtu kutarajia kitu kama anavypoenda yeye kiwe ni kosa kisiasa/ kidemokrasia?
 
Nadhani ni kauli ya kawaida sana ikimanisha kuwa kwa kazi nzuri anayofanya CCM itampitisha na wa Tanzania tutamchagua kuwa Rais wetu na kazi iendelee! Haina tofauti na wanachadema kusema Mbowe ataendelea kuwa mwenyekiti au wana Simba kusema Simba itachukua ubingwa msimu huu wa ligi. Hii haimanishi kuwa CCM haitafanya uchaguzi wa ndani ya chama au Chadema hawatachagu au Ligi kuu haitachezwa kwa kutabiri ushindi wa Simba. Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania , Kazi iendelee!
Mimi ni CHADEMA, Ila kauli uchambuzi uko Very objective. Hongera sana
 
Kauli hii kutoka kwa Waziri Mkuu akiwa kwenye uzinduzi wa mpango wa maendeleo na kampeni ya UVIKO ni ya kufikirisha sana sana, ametangaza kuwa Rais Samia atakuwa Rais wa Tanzania mpaka 2030, binafsi na laani kauli hii na inafanya wapenda Democrasia na Maendeleo wawe na maswali mengi sana ya kufikirisha, je mfumo wa upigaji kura na uvamizi utakuwa kama ule wa Mwaka 2020? maana hili tu pekee ndio laweza kufanikisha swala hili.

Inasikitisha sana sana sana kwa yeye kutoa tamko kama hili, je nchi hii mmiliki wake ni nani, je wananchi wanachukuliwaje au sati zao zinapokelewaje kwenye kupiga kura kama kina nani kama wasio faa au hawana mamlaka ya kumpa kura mwingine yeyote yule? TAFAKARI kuna kitu lazima. ila tufahamu tu kwamba Mwenyezi Mungu ni wa kila mtanzania na ndiye huamua nini kifanyike na nini kisifanyike.
PM haaminiki tena, na tamko lake halina maana yoyote kwa kuwa hakuna Mtanzania anayetamani kuendelea na hali ilivyo.....wote wapoteza sifa........wanaweza kujiweka wenyewe kama ilivyo desturi yao lakini haiba imepotea wala kuungwa mkono hakupo
 
Ukiunganisha na ile kauli ya Samoa kwamba hata tukichagua kwingine,CCM ndiyo itakayounda serikali basi picha kamili inakuja!

Ila kwenye haya matamko yako wasisahau Mungu yupo na anaweza kuamua tofauti!

Kama Samia amepata funzo kwa mwendazake basi anapaswa kukemea hizi kauli za rejareja!
Jamaa wanajua watapita bila kupingwa
 
Back
Top Bottom