Waziri Mkuu Majaliwa aunda kamati itakayosimamia fedha ya COVID-19 iliyotolewa na IMF

Hamna mwanasiasa yoyote atakayeweza kumchafua Magufuli.

Kazi za Magufuli zinaonekana kwa macho ila kazi za wachafuzi hamna hata moja inayoonekana wamekalia maneno matupu tu.

Kwa hiyo huyo Zito amepoteza muda wake na heshima yake kwa jamii.
Zitto siyo serikali, Zitto hakusanyi kodi, Zitto ni raia kama wewe hivyo unayomsema ndivyo nawe ulivyo, hata viongozi unaowasifu ni pesa zako na wenzako wanazielekeza sehemu husika.
 
Hamna mwanasiasa yoyote atakayeweza kumchafua Magufuli.

Kazi za Magufuli zinaonekana kwa macho ila kazi za wachafuzi hamna hata moja inayoonekana wamekalia maneno matupu tu.

Kwa hiyo huyo Zito amepoteza muda wake na heshima yake kwa jamii.
Kumbe si mwendakuzimu peke yake alikuwa na file Mirembe, bali hata nyinyi masuria yake.

Mmepanick sana, na bado ndio mtajuwa ugumu wa maisha ya kuachwa mjane.
 
Waziri mkuu mh Majaliwa ameunda kamati itakayosimamia fedha ya Covid 19 iliyotolewa na IMF jumla ya tsh 1.3 trillion

Mwenyekiti ni mh Jenister Mhagama

Wajumbe ni Dr Ndumbaro, mh Ummy Mwalimu , Prof Kitilla Mkumbo, Dr Mwigullu Nchemba, Dr Gwajima na mh Awesu

Mh Majaliwa ameonya kuwa isitolewe hata senti 5 katika fedha hizi kwa ajili ya kulipana posho kwa namna yoyote ile

Source: ITV habari
Kamati haina mtu wa kanda ya ziwa wala kaskazini. Wajumbe watatu wote ni kutoka mkoa mmoja wa Singida. Really? Ni vizuri hizi teuzi zizingatie uwiano wa kitaifa ili kuepuka distortions ktk mgao wa raslimali, huduma na maendeleo ktk taifa letu.
 
Kamati haina mtu wa kanda ya ziwa wala kaskazini. Wajumbe watatu wote ni kutoka mkoa mmoja wa Singida. Really? Ni vizuri hizi teuzi zizingatie uwiano wa kitaifa ili kuepuka distortions ktk mgao wa raslimali, huduma na maendeleo ktk taifa letu.
Mwingine atakuja waislamu/wakristo ni wengi, wanawake wapo wachache, wahindi/waarabu hamna hata mmoja. Vitu vingine ni kujipa msongo tu wa mawazo.
 
Mwingine atakuja waislamu/wakristo ni wengi, wanawake wapo wachache, wahindi/waarabu hamna hata mmoja. Vitu vingine ni kujipa msongo tu wa mawazo.
Tunazungumzia "equitable distribution" of appointments and allocation of resources. Ni jambo la msingi kwa mustakabali wa nchi - kote duniani. Ni angalizo na ushauri tu. Get me right comrade.
 
Hiyo pesa mbona ya IMF kama imeanza kusambazwa kwenye shughuli za maendeleo na anayepewa ujiko ni mama mkubwa!
 
Hamna mwanasiasa yoyote atakayeweza kumchafua Magufuli.

Kazi za Magufuli zinaonekana kwa macho ila kazi za wachafuzi hamna hata moja inayoonekana wamekalia maneno matupu tu.

Kwa hiyo huyo Zito amepoteza muda wake na heshima yake kwa jamii.
hivi vipimo vya akili vinapimwa wapi?
 
Waziri mkuu mh Majaliwa ameunda kamati itakayosimamia fedha ya COVID-19 iliyotolewa na IMF jumla ya tsh 1.3 trillion.

Mwenyekiti ni mh Jenister Mhagama.

Wajumbe ni Dr Ndumbaro, Mh Ummy Mwalimu, Prof. Kitilla Mkumbo, Dr Mwigullu Nchemba, Dr Gwajima na Mh Awesu.

Mh Majaliwa ameonya kuwa isitolewe hata senti 5 katika fedha hizi kwa ajili ya kulipana posho kwa namna yoyote ile.

Chanzo: ITV habari
Hii kamati inafanya kazi kweli? Hivi Ummy na Gwajima, mnatambua yanayoendelea kwenye wizara zenu?
 
Back
Top Bottom