Taifa Digital Forum
Member
- Jun 4, 2022
- 68
- 184
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 13, 2022 amekutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar Es Salaam.
Awamu iliyopita wangepigana mawe hawa ila hiy.ndio siasa.Siasa bhana,niishie tu hapo.
Maana yake ni Chadema ni CCM B.Sasa wanavyokutana hivyo bila kutuambia sisi wananchi wana maana gani??
Uongo utakusaidia nini ?Maana yake ni Chadema ni CCM B.
Lini Hashimu Rungwe alikutana na Magufuli Ikulu?Mbowe alijitia ana kiburi Magufuli akamuonyesha jeuri. Mbona kina mbatia, lipumba, hashim rungwe na maalim seif walikutana na Magufuli tena ikulu. Nenda kagoogle uone.
Mnavyosema ACT ni CCM A uongo huo unawasaidiaje ??!!Uongo utakusaidia nini?
CCM BUongo utakusaidia nini ?
Alamba Tena!Asali asali asali
Asali asaliiiiii tamu sana.
WAMASAI wamehamishwa Mh Mbowe Ukiwa kimya kabsa.Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 13, 2022 amekutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2288941View attachment 2288943
Habari kamili ipo wapi?Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Julai 13, 2022 amekutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe kwenye Ofisi Ndogo ya Waziri Mkuu Magogoni jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2288941View attachment 2288943