Waziri Mkuu Majaliwa akiambatana na Mzee Mkapa aelekea Msumbiji kumwakilisha Rais Magufuli sherehe za kuapishwa Filpe Nyusi

Chibudee

JF-Expert Member
Dec 28, 2016
1,775
2,397
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameondoka Tanzania kueleka Msumbiji kumwakilisha Rais Magufuli katika sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Nchi hiyo Filipe Nyusi.

Waziri Mkuu ameongozana na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa, Rais Filipe Nyusi anaapishwa leo Jumatano.

Rais Nyusi alitangazwa mshindi wa uchaguzi kwa kupata 73% ya kura, huku Chama chake cha FRELIMO kikiwa na 74% ya viti Bungeni kufuatia uchaguzi wa Oktober 15 mwaka jana.


Mhe:Rais Yupo Busy Kujenga Nchi Hana Muda Na Kukwea Mapipa
FB_IMG_1579081898600.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Safi sana ! Tunaimani na uwakilishi wenu. Wacha JPM aendelee kupambana na unyooshaji wa taifa letu.

Lowassa na Sumaye mbona hamjawajumlisha kwenye hiyo safari? Maana walikuwa wamemisi sana hizo hafla baada ya kwenda kutafuta madaraka kupitia cdm. Hata mimi siungi mkono rais kwenda safari kama hizi maana hazina tija, ila yeye hata zenye tija huwa haendi.
 
Yakaisari ...
Lowassa na Sumaye mbona hamjawajumlisha kwenye hiyo safari? Maana walikuwa wamemisi sana hizo hafla baada ya kwenda kutafuta madaraka kupitia cdm. Hata mimi siungi mkono rais kwenda safari kama hizi maana hazina tija, ila yeye hata zenye tija huwa haendi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natoa wosia kwa vijana walio ingia kidato cha kwanza 2020 kusoma kwa bidii hasa mwenye somo la ung'eng'e maana kuto kuujua ni mateso huko mbeleni kama wata bahatika kusukumiziwa madaraka.
Inanyima fursa nyingi za kukutana na wenzako wa level yako kutoka sehemu mbalimbali maana unakuwa na ka uoga fulani.
Sorry; post hii nimeiweka kwa bahati mbaya na kitufe cha kufuta sikioni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lowassa na Sumaye mbona hamjawajumlisha kwenye hiyo safari? Maana walikuwa wamemisi sana hizo hafla baada ya kwenda kutafuta madaraka kupitia cdm. Hata mimi siungi mkono rais kwenda safari kama hizi maana hazina tija, ila yeye hata zenye tija huwa haendi.
Zitakuja safari nyingine inshallah ikimpendeza mh. Rais wataenda.
 
Natoa wosia kwa vijana walio ingia kidato cha kwanza 2020 kusoma kwa bidii hasa mwenye somo la ung'eng'e maana kuto kuujua ni mateso huko mbeleni kama wata bahatika kusukumiziwa madaraka.
Inanyima fursa nyingi za kukutana na wenzako wa level yako kutoka sehemu mbalimbali maana unakuwa na ka uoga fulani.
Sorry; post hii nimeiweka kwa bahati mbaya na kitufe cha kufuta sikioni.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Natoa wosia kwa vijana walio ingia kidato cha kwanza 2020 kusoma kwa bidii hasa mwenye somo la ung'eng'e maana kuto kuujua ni mateso huko mbeleni kama wata bahatika kusukumiziwa madaraka.
Inanyima fursa nyingi za kukutana na wenzako wa level yako kutoka sehemu mbalimbali maana unakuwa na ka uoga fulani.
Sorry; post hii nimeiweka kwa bahati mbaya na kitufe cha kufuta sikioni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha waje kukujinalako !
 
Back
Top Bottom