Chibudee
JF-Expert Member
- Dec 28, 2016
- 1,775
- 2,397
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameondoka Tanzania kueleka Msumbiji kumwakilisha Rais Magufuli katika sherehe za kuapishwa kwa Rais wa Nchi hiyo Filipe Nyusi.
•
Waziri Mkuu ameongozana na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa, Rais Filipe Nyusi anaapishwa leo Jumatano.
•
Rais Nyusi alitangazwa mshindi wa uchaguzi kwa kupata 73% ya kura, huku Chama chake cha FRELIMO kikiwa na 74% ya viti Bungeni kufuatia uchaguzi wa Oktober 15 mwaka jana.
Mhe:Rais Yupo Busy Kujenga Nchi Hana Muda Na Kukwea Mapipa
Sent using Jamii Forums mobile app
•
Waziri Mkuu ameongozana na Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Benjamin Mkapa, Rais Filipe Nyusi anaapishwa leo Jumatano.
•
Rais Nyusi alitangazwa mshindi wa uchaguzi kwa kupata 73% ya kura, huku Chama chake cha FRELIMO kikiwa na 74% ya viti Bungeni kufuatia uchaguzi wa Oktober 15 mwaka jana.
Mhe:Rais Yupo Busy Kujenga Nchi Hana Muda Na Kukwea Mapipa
Sent using Jamii Forums mobile app