Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,923
- 8,314
- Thread starter
- #121
Wewe umesema unapenda upinzani wenye tija, Je! Unafikiri upinzani wenye tija utajengwa na makonda?
Wacha bendera,ikiwezekana Vazi la Taifa iwe rangi za CCM Nyumba zote nchi zima zipakwe rangi ya CCM,ila Chadema haifi wala haipotei ipo kwenye mioyo ya watuTunajua Chadema ipo kwa hatua za mwisho kusambaratika na hatimaye kufa kabisa kuelekea October 2020
Chadema hii ipo kwenye uoga wa kukataliwa na Wananchi kwenye boksi la kura
Wanachokifanya kwa sasa wanatumia njia ya kuwagombanisha viongozi wetu
Kwa kuwa Makonda ameifuta Chadema dar es salam makamanda wamejawa na mihemuko wanajua ruzuku haitakuwepo tena Chadema
Wanataka wamtumie Waziri Mkuu kukugombanisha wewe na makonda usikubali waambie waache uhuni wa kisiasa
Na makonda ameshawajulia hawa makamanda anawakimbiza ile mbaya, naomba Uchaguzi Mkuu unaokuja makonda aendelee kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar ili ahitimishe maziko
Sisi Watanzania tuliowengi raha yetu ni kuona tunakuwa na chama cha upinzani chenye tija kwa Taifa lakini sio hawa wanaojiita makamanda
Tunakuomba pia makonda usiwalegezee kamba hawa makanjanja wa kisiasa, tunataka October 2020 Dar iwe ya kijani
Tunataka kuanzia posta hadi bagamoyo, posta hadi kibaha posta hadi mbagala rangi za Ccm zipepee Tumechoka kuona rangi za chama kingine
Tuipende Tanzania
Wacha bendera,ikiwezekana Vazi la Taifa iwe rangi za CCM Nyumba zote nchi zima zipakwe rangi ya CCM,ila Chadema haifi wala haipotei ipo kwenye mioyo ya watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuipenda Tanzania ni pamoja na kuwaondoa wahuni madarakani
Tunajua Chadema ipo kwa hatua za mwisho kusambaratika na hatimaye kufa kabisa kuelekea October 2020
Chadema hii ipo kwenye uoga wa kukataliwa na Wananchi kwenye boksi la kura
Wanachokifanya kwa sasa wanatumia njia ya kuwagombanisha viongozi wetu
Kwa kuwa Makonda ameifuta Chadema dar es salam makamanda wamejawa na mihemuko wanajua ruzuku haitakuwepo tena Chadema
Wanataka wamtumie Waziri Mkuu kukugombanisha wewe na makonda usikubali waambie waache uhuni wa kisiasa
Na makonda ameshawajulia hawa makamanda anawakimbiza ile mbaya, naomba Uchaguzi Mkuu unaokuja makonda aendelee kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar ili ahitimishe maziko
Sisi Watanzania tuliowengi raha yetu ni kuona tunakuwa na chama cha upinzani chenye tija kwa Taifa lakini sio hawa wanaojiita makamanda
Tunakuomba pia makonda usiwalegezee kamba hawa makanjanja wa kisiasa, tunataka October 2020 Dar iwe ya kijani
Tunataka kuanzia posta hadi bagamoyo, posta hadi kibaha posta hadi mbagala rangi za Ccm zipepee Tumechoka kuona rangi za chama kingine
Tuipende Tanzania
Hujatuambia anawagombanisha kwa namna gani..ingekuwa vema ungeanzia hapoTunajua Chadema ipo kwa hatua za mwisho kusambaratika na hatimaye kufa kabisa kuelekea October 2020
Chadema hii ipo kwenye uoga wa kukataliwa na Wananchi kwenye boksi la kura
Wanachokifanya kwa sasa wanatumia njia ya kuwagombanisha viongozi wetu
Kwa kuwa Makonda ameifuta Chadema dar es salam makamanda wamejawa na mihemuko wanajua ruzuku haitakuwepo tena Chadema
Wanataka wamtumie Waziri Mkuu kukugombanisha wewe na makonda usikubali waambie waache uhuni wa kisiasa
Na makonda ameshawajulia hawa makamanda anawakimbiza ile mbaya, naomba Uchaguzi Mkuu unaokuja makonda aendelee kuwa Mkuu wa mkoa wa Dar ili ahitimishe maziko
Sisi Watanzania tuliowengi raha yetu ni kuona tunakuwa na chama cha upinzani chenye tija kwa Taifa lakini sio hawa wanaojiita makamanda
Tunakuomba pia makonda usiwalegezee kamba hawa makanjanja wa kisiasa, tunataka October 2020 Dar iwe ya kijani
Tunataka kuanzia posta hadi bagamoyo, posta hadi kibaha posta hadi mbagala rangi za Ccm zipepee Tumechoka kuona rangi za chama kingine
Tuipende Tanzania
Kawe Alumni alikuwa mpuuzi watu wakampuuzia kwa upuuzi wake, kwa vile wewe ni Zuzu nasi wenye akili watakuzuzua ili uzuzuke kabisa.Ndio hivyo Mkuu Chadema wameishiwa hoja
Hawajui washike lipi kuelekea October
Wameona bora watafute mchawi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujatuambia anawagombanisha kwa namna gani..ingekuwa vema ungeanzia hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kawe Alumni alikuwa mpuuzi watu wakampuuzia kwa upuuzi wake, kwa vile wewe ni Zuzu nasi wenye akili watakuzuzua ili uzuzuke kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuipenda Tanzania ni pamoja na kuwaondoa wahuni madarakani
Kwanini wajinga wa ccm mnakiogopa chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema)?
Kumbukeni jambo hili,tangu Yohana alipoingia madarakani amekuwa ni mtu wa kununua madiwani na wabunge wa Chadema usiku na mchana je,ulishawahi kuona au kusikia Chadema wamenunua takataka yeyote kutoka ccm?
Uache ujinga,kama unadhani ccm wamekifuta chama cha demokrasia na maendeleo basi unajidanganya!
Sent using Jamii Forums mobile app
Makonda ni mkuu wa Mkoa anatumikaje kuifuta Chadema? Kwani wakuu wa mikoa ni viongozi wa Ccm? Ndio mana maombi aliyotaka jiwe nayaona ni kupoteza muda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye ulafi wa kutaka madaraka kinguvu.Chadema kila wanaposhika wanaangukia pua
Hiki chama kilijikwaa wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipende zu chama cha Mapinduzu. Kiko imara sasa.Eeeh mungu nisaidie siku moja nisije nikavipenda vyama hivi CCM na CHADEMA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi namwuunga mkono mtoa mada.Wewe unamimba changa? Mbona siuoni ushauri wako kwa Waziri Mkuu badala yake naona Makonda Makonda Makonda tu! Tafuta udongo wa Kibirizi umung'unye utakusaidia kukutuliza hasira.