Leo waziri mkuu Kasimu Majaliwa ametembelea wilaya ya Karagwe, wakati anahutubia hajagusia roho ya uchumi wa wilaya ya Karagwe - kahawa. Bila maendeleo ya zao la kahawa, hakuna maendeleo ya wilaya.
Kuna matatizo mengi juu ya zao la kahawa, bei mbaya, tozo za kila aina, wizi wa vyama vya ushirika, kutopata ushauri wa kitaalam juu ya kilimo Cha kahawa, madeni ya vyama vya ushirika.
Vitu vyote alivyoongelea, umeme, hospitali, Barabara, vyuo (elimu). Haviwezi kwenda bila kufanya mageuzi ya maendeleo ya jumla ya zao la kahawa. Walio karibu naye mfikishie ujumbe
Kuna matatizo mengi juu ya zao la kahawa, bei mbaya, tozo za kila aina, wizi wa vyama vya ushirika, kutopata ushauri wa kitaalam juu ya kilimo Cha kahawa, madeni ya vyama vya ushirika.
Vitu vyote alivyoongelea, umeme, hospitali, Barabara, vyuo (elimu). Haviwezi kwenda bila kufanya mageuzi ya maendeleo ya jumla ya zao la kahawa. Walio karibu naye mfikishie ujumbe