Mtu wa Asali
Senior Member
- May 9, 2022
- 152
- 291
Shaka huna nguvu ya kupambana na wauzaji wa Pembejeo feki mtwara ni michezo wameshaizoea.
Nimeshangaa kumuona Katibu wa itikadi na Uenezi wa chama cha Mapinduzi akiagiza mfanyabiashara wa mbolea feki akamatwe kwa kutumia jina la Waziri Mkuu.
Mfanyabiashara huyo anatumia jina la Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuuza Pembejeo feki na uwakala amepewa na Waziri Mkuu. Alidai mfanyabiashara huyo anatumia jina la Waziri mkuu.
Hili jambo haliwezi kuwa bahati mbaya hata kidogo kwa mfanyabiashara aliyeweka mtaji wake kutumia jina la kiongozi mkubwa wa nchi. Kuna uhusika waswali wanasema aliyekando haangukiwi na mti.
Mara kadhaa watu wa Kusini wamelalamika kuhusu kununua Pembejeo zisizokidhi viwango kutoka kwa hawa watu na Jamii inafahamu ukatili unaonafanywa Jeshi la Polisi lipo na Wakuu wa Ulinzi na usalama wapo wanajua ukweli wa hili sakata la Pembejeo feki nani ni muhusika Mkuu.
Mfanyabiashara gani mtwara mwenye nguvu ya Pesa kutumia jina la Waziri Mkuu kusambaza pembejeo feki, huu ni mchezo tunaochezewa.
Shaka ni mjumbe wa mjumbe wa kamati kuu ya CCM apeleke jina aliloambiwa ni muhusika Mkuu wa kuuza Pembejeo feki wanafanya uhalifu ulio wazi.
Kitendo cha mtu kuuza pembejeo feki ni cha uhujumu wa Kilimo na uchumi. Limetajwa jina la Waziri Mkuu kwenye Pembejeo feki achunguzwe.
Katibu Muenezi wa CCM akizungumzia dalali wa pembejeo bandia
Nimeshangaa kumuona Katibu wa itikadi na Uenezi wa chama cha Mapinduzi akiagiza mfanyabiashara wa mbolea feki akamatwe kwa kutumia jina la Waziri Mkuu.
Mfanyabiashara huyo anatumia jina la Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuuza Pembejeo feki na uwakala amepewa na Waziri Mkuu. Alidai mfanyabiashara huyo anatumia jina la Waziri mkuu.
Hili jambo haliwezi kuwa bahati mbaya hata kidogo kwa mfanyabiashara aliyeweka mtaji wake kutumia jina la kiongozi mkubwa wa nchi. Kuna uhusika waswali wanasema aliyekando haangukiwi na mti.
Mara kadhaa watu wa Kusini wamelalamika kuhusu kununua Pembejeo zisizokidhi viwango kutoka kwa hawa watu na Jamii inafahamu ukatili unaonafanywa Jeshi la Polisi lipo na Wakuu wa Ulinzi na usalama wapo wanajua ukweli wa hili sakata la Pembejeo feki nani ni muhusika Mkuu.
Mfanyabiashara gani mtwara mwenye nguvu ya Pesa kutumia jina la Waziri Mkuu kusambaza pembejeo feki, huu ni mchezo tunaochezewa.
Shaka ni mjumbe wa mjumbe wa kamati kuu ya CCM apeleke jina aliloambiwa ni muhusika Mkuu wa kuuza Pembejeo feki wanafanya uhalifu ulio wazi.
Kitendo cha mtu kuuza pembejeo feki ni cha uhujumu wa Kilimo na uchumi. Limetajwa jina la Waziri Mkuu kwenye Pembejeo feki achunguzwe.
Katibu Muenezi wa CCM akizungumzia dalali wa pembejeo bandia