pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,652
- 13,706
Mwanasiasa wa Tz akikuambia 'usiku mwema' usimuamini toka nje kwanza ukaangalie kama kuna giza kweli ndio urudi ndani kujibu salam yake.
Kiukweli humu jf, kuna wenzetu wengi tuu humu sio wazima kabisa!, ni vichaa!. Ukiwaaminisha anything, hata vitu vya ajabu ajabu, wanaamini!. Hawa ndio mazuzu tuliokuwa tukiyazungumza, kama mazuzu wanaoamini kuna kundi la The Sukuma Gang.Ni tuhuma nzito hizi, sio ndio kaka Pascal Mayalla ? . Unaweza kutoa ushahidi ikihitajika?
Hakuna mtu nilikuwa namuamini kama Kassim kumbe na yeye ni ZUZU tu, kwa sasa maeneo mengi ya nchi kuwa na umeme ni anasa halafu anasema tuna umeme wa kutosha
Tangu Kaphone atangaze hadharani 'jiwe'liko fit wakati ni kinyume sina hamu wala simuamini hata kidogo.Hakuna mtu nilikuwa namuamini kama Kassim kumbe na yeye ni ZUZU tu, kwa sasa maeneo mengi ya nchi kuwa na umeme ni anasa halafu anasema tuna umeme wa kutosha
Upo sahihi kabisa..Ndugu NjaaKiukweli humu jf, kuna wenzetu wengi tuu humu sio wazima kabisa!, ni vichaa!. Ukiwaaminisha anything, hata vitu vya ajabu ajabu, wanaamini!. Hawa ndio mazuzu tuliokuwa tukiyazungumza, kama mazuzu wanaoamini kuna kundi la The Sukuma Gang.
P