Hao wawezekaji si wana balozi zao hapa na huwa wanakuja wenyewe kuona hali halisi kabla ya kusaini mikataba?
 
umeme wa kutosha.
200 (2).gif
 

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameendelea kutoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina ardhi, barabara na umeme wa kutosha.

Aidha, Waziri Majaliwa pia ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara kuendelea na utaratibu wa kukutana na wizara au taasisi za serikali na binafsi nchini ili kuwahamasisha kununua bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.

"Wawekezaji njooni muwekeze Tanzania, tuna ardhi ya kutosha, umeme, barabara, tuna reli ya kati na tunajenga reli ya kisasa, pia tuna ndege 11 na nyingine zinakuja, tunajenga viwanja ya ndege kila mkoa, hivyo tunauhakika wa usafiri," amesema Waziri Mkuu.

Kadhalika, Waziri Mkuu ametoa wito kwa wafanyakazi wa viwanda hapa nchini kuwasaidia wawekezaji hao ili wakuze zaidi biashara zao na wanufaike na uwekezaji huo.
Huyu waziri mkuu ndiyo haaminiki kabisa alitudanganya Magufuli mzima kesho yake tutakabgaziwa hayati
 
Kwa issue hii ya umeme unawezaje kumueleza mwekezaji aje huku Tanzania kuwekeza na umeme wa kwikwi?

Namwomba arudi tu nyumbani hakuna la maana analofanya huko Singapore na anapataje ujasiri kuelezea uchumi kwenye mkutano na huku nchi yako hakuna uchumi yaaani kifupi mtu hawezi kukusikiliza Jambo ambalo wewe limekushinda
 
Kwa issue hii ya umeme unawezaje kumueleza mwekezaji aje huku Tanzania kuwekeza na umeme wa kwikwi?

Namwomba arudi tu nyumbani hakuna la maana analofanya huko Singapore na anapataje ujasiri kuelezea uchumi kwenye mkutano na huku nchi yako hakuna uchumi yaaani kifupi mtu hawezi kukusikiliza Jambo ambalo wewe limekushinda

Labda kama angesikia posho na per diem zote atapewa tu.

Si unajua tuko kimaslahi binafsi zaidi 😁😁.
 
Katelephone ni muongo muongo sana huyu mbaba,
Yaani huyo Mzee hua anahutubia kinyume nyume
Mfano akisema mtu mzima wa afya ujue kafa,
Akisema maji yapo ya kutosha ujue hapo ni jangwa!
Kasimu! kasimu!
☎️📞📱📲
 
Back
Top Bottom