Bepari2020
JF-Expert Member
- Nov 7, 2020
- 2,073
- 2,450
Hao wawezekaji si wana balozi zao hapa na huwa wanakuja wenyewe kuona hali halisi kabla ya kusaini mikataba?
Huyu ndugu Kasimu na yule kipara Ndu..Gai ndio walisuka mpango wa kumuua mama na ajali Tanga..Ulitaka akwambie Rais JPM keshakufa?, vaa viatu vyake uujue ugumu wa kazi anayoifanya.
Kama Dangote!Zero brain
Waje na magenerator yao
umeme wa kutosha.
Unaweza kuweka ushahidi hadharani mbele ya jaji wa mahakama au umesikia tu kupitia radio mbao?.Huyu ndugu Kasimu na yule kipara Ndu..Gai ndio walisuka mpango wa kumuua mama na ajali Tanga..
Huyu waziri mkuu ndiyo haaminiki kabisa alitudanganya Magufuli mzima kesho yake tutakabgaziwa hayati
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, ameendelea kutoa wito kwa wawekezaji kuja kuwekeza nchini kwa sababu Tanzania ina ardhi, barabara na umeme wa kutosha.
Aidha, Waziri Majaliwa pia ameiagiza Wizara ya Viwanda na Biashara kuendelea na utaratibu wa kukutana na wizara au taasisi za serikali na binafsi nchini ili kuwahamasisha kununua bidhaa zinazozalishwa hapa nchini.
"Wawekezaji njooni muwekeze Tanzania, tuna ardhi ya kutosha, umeme, barabara, tuna reli ya kati na tunajenga reli ya kisasa, pia tuna ndege 11 na nyingine zinakuja, tunajenga viwanja ya ndege kila mkoa, hivyo tunauhakika wa usafiri," amesema Waziri Mkuu.
Kadhalika, Waziri Mkuu ametoa wito kwa wafanyakazi wa viwanda hapa nchini kuwasaidia wawekezaji hao ili wakuze zaidi biashara zao na wanufaike na uwekezaji huo.
Ushahidi kamuulize kipara Ndu Gai na yule waliomuweka home arrestUnaweza kuweka ushahidi hadharani mbele ya jaji wa mahakama au umesikia tu kupitia radio mbao?.
Kwa issue hii ya umeme unawezaje kumueleza mwekezaji aje huku Tanzania kuwekeza na umeme wa kwikwi?
Namwomba arudi tu nyumbani hakuna la maana analofanya huko Singapore na anapataje ujasiri kuelezea uchumi kwenye mkutano na huku nchi yako hakuna uchumi yaaani kifupi mtu hawezi kukusikiliza Jambo ambalo wewe limekushinda
Uzi tayari ha ha haaa
Ule wa Katerero wa Maji😆😆🤣🤣 umeme ya nyoko
Ni tuhuma nzito hizi, sio ndio kaka Pascal Mayalla ? . Unaweza kutoa ushahidi ikihitajika?Huyu ndugu Kasimu na yule kipara Ndu..Gai ndio walisuka mpango wa kumuua mama na ajali Tanga..