Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,657
- 22,252
Sheria ya takwimu iliyopitishwa hivi karibuni inakataza matumizi na kutangaza takwimu zisizo rasmi, nimemsikia Waziri Mkuu akiijulisha dunia kuwa watu bilioni 3.9 wamefuatilia msiba wa Hayati JPM. Takwimu hizo bahati mbaya siyo rasmi ila kwake zimemfurahisha kwani ni ushindi.
Huko nyuma tumewahi kushuhudia mtu akiweka takwimu zilizonona Serikali huzikubali licha kisheria ni batili, lakini MTU huyo huyo atakapotoa takwimu zilizokondeana kufuata na wakati hutafutwa akamatwe.
Je, Waziri Mkuu anapotumia takwimu zisizo rasmi ni sahihi au kosa kisheria?
Pia soma > Waziri Mkuu: Watu Bilioni 3.9 Duniani jana walifuatilia Shughuli za Kumuaga Hayati Magufuli
Huko nyuma tumewahi kushuhudia mtu akiweka takwimu zilizonona Serikali huzikubali licha kisheria ni batili, lakini MTU huyo huyo atakapotoa takwimu zilizokondeana kufuata na wakati hutafutwa akamatwe.
Je, Waziri Mkuu anapotumia takwimu zisizo rasmi ni sahihi au kosa kisheria?
Pia soma > Waziri Mkuu: Watu Bilioni 3.9 Duniani jana walifuatilia Shughuli za Kumuaga Hayati Magufuli