What if PM Majaliwa akiwa Rais wa JMTKama mbunge kabudi anateuliwa kuwa mwanasheria wa ikulu unashangaa hiyo mkuu
Kwa kwel umma Leo umestaajabu!!Stress Mkuu.
Ni stress ya 2025
View attachment 2076111
Wewe na Vi clip vyako vya kuungaunga haujambo
Wanabodi natumai mko salama!!
Leo waziri Mkuu kastaajabisha umma kwa kusema leo tar 10/1/2022 ni siku ya 40 ya Mwaka mpya huku akiwa serious kabisa!!
Je,, hii siku ya arobaini ya Mwaka Mpya kwa mujibu wa PM inatoka kwenye calendar gani??
Je ,, ni stress na fear juu ya kutumbuliwa kwenye tittle aliyonayo au mambo ya kibinadamu tu au pengine Kuna calendar ya Siri tusiyoijua??
Naomba kuwakilisha!!
Mwaka mpya wa Kiislamu uliadhimishwa lini?Kulingana na dini yake leo ni siku ya 40 tangu mwaka mpya uanze.
Kwako shehe ubwabwa.Kulingana na dini yake leo ni siku ya 40 tangu mwaka mpya uanze.
UmenikumbushaMwenzake alisema muheshimiwa Mungu!
Ulimi hauna mfupa
kumbe Yohana Mbatizaji wewe mhindi, Kassim M kasema siku ya 40 naona kaweka na Disemba sio tarehe 40Leo ni tarehe 40 ya mwaka mpya wa Baha' i
Mwenzake alisema muheshimiwa Mungu!
Ulimi hauna mfupa
"Rais Yuko ikulu anaendelea na majukumu yake"Huyu jamaa hajawahi kusema ukweli,kwa hiyo usitegemee aseme ukweliView attachment 2076126