Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kusema leo siku ya 40 ya mwaka mpya anamaanisha nini?

Wanabodi natumai mko salama!!

Leo waziri Mkuu kastaajabisha umma kwa kusema leo tar 10/1/2022 ni siku ya 40 ya Mwaka mpya huku akiwa serious kabisa!!

Je,, hii siku ya arobaini ya Mwaka Mpya kwa mujibu wa PM inatoka kwenye calendar gani??

Je ,, ni stress na fear juu ya kutumbuliwa kwenye tittle aliyonayo au mambo ya kibinadamu tu au pengine Kuna calendar ya Siri tusiyoijua??

Naomba kuwakilisha!!
Wanabodi natumai mko salama!!

Leo waziri Mkuu kastaajabisha umma kwa kusema leo tar 10/1/2022 ni siku ya 40 ya Mwaka mpya huku akiwa serious kabisa!!

Je,, hii siku ya arobaini ya Mwaka Mpya kwa mujibu wa PM inatoka kwenye calendar gani??

Je ,, ni stress na fear juu ya kutumbuliwa kwenye tittle aliyonayo au mambo ya kibinadamu tu au pengine Kuna calendar ya Siri tusiyoijua??

Naomba kuwakilisha!!
Basi alitumia Mwaka wa Kanisa unaoanza Advent 1 (Jumapili ya kwanza katika Adventi au Majalio)? Hakika si mwaka wa Kiislamu, maana hapo tuko kwenye mwezi wa Jumada ya Pili ambayo ni mwezi wa sita.
 
Kama Ni kuteleza kwa ulimi,ilitakiwa kuomba radhi na kusahihisha kauli yake.kutofanya hivyo,siyo sahihi
 
Umenikumbusha
Ustaadh fylani mpenda ubwabwa na laini za mtandao wa tiGO aliyesema mwendakuzimu Ni zaidi ya mtume Sasa sijui alimaanisha mtume yupi.
Mtume ni mtu yeyote tu anayetumika. Watume wa Mungu wanatumwa na Mungu. Mbunge au Rais anatumwa na wananchi. Ni mtume wa Watanzania
 
Alikuwa anawatonya LUKUVI na KABUDi kuwa za mwizi arobaini kwani nilikuwa nasingiziwa sana kuwa na Mimi ni 2025.
 
Back
Top Bottom