Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 8,310
- 13,617
Hazina kazi sasa wamezigeuza za kwendea chato kuhiji kwenye makaburiNdege zilinunuliwa nyingi mno
Hazina kazi sasa wamezigeuza za kwendea chato kuhiji kwenye makaburiNdege zilinunuliwa nyingi mno
Shughuli za kichama atumie mali ya umma? shame on youUlitaka atumie ndege ya baba yako? Stupid, very stupid indeed...mijitu mingine hovyo Sana...thinking capacity zero...
Matumizi mabaya ya mali za ummaDah.....Bora ya nyie mnaotofautisha Mali za Chama na serikali.... Wengine tunaona zote ni sawa tu...ni Kodi tunazolipa
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi ipi hiyo?! Kwenda kuhiji amaUlitaka atumie ndege gani? Muacheni Waziri Mkuu afanye kazi yake
Acha upuuziWapi imeandikwa hiyo
Anaweza kufufuka yuleMzimu wa jamaa unawasumbua sana ccm.
Acha kuandika upuuzi humu jfNdio anatumia ndege ya serikali na hakuna ndezi yoyote atafanya kitu. Anaemaindi ajipime oil.
Ndege ni za biashara je kama amekodi utakataaa?Kwenye kampeni za CCM atumie mali ya umma? nimekutukana tusi kubwa sn
Mbona umepanic? Kwani mtawala wa malaika anasemaje?Utaanza wewe kutembelewa na muujiza
Mbona unateseka?Wewe endelea kumchukia, kukejeli na kutukana. Haipunguzi nukta hata moja. Kifupi haina madhara. Serikali ndo kama ivo inawatizama familia yake kwa karibu
Acha kufuru mkuu, mungu kabisa awe na JPM? Masikhara hayo. Punguzeni masikharaNamuelewa sana JPM, Mungu awe pamoja naye
Wamula kundukila,,Mimba ya jiwe na mzimu wake vitakutesa mpaka kufa. Nyanoko
Siku mkikua mtaacha. ahadi ya serikali wakati wa mazishi ilikuwa kuendelea kumwangalia mama Mzazi wa JPM. Mnataka serikali ifanyaje sasa???
Mkipata dola mtalipiza kisasi
Una hisa ngapi hapa JF?Acha kuandika upuuzi humu jf
Hatulilii Masaliti ya Nchi hata siku labda matahira ya pale UfipaTulie na nani? Mbona hamkulia na sisi lisu alipopigwa risasi? Farijianeni wenyewe msitushirikishe sisi! Furahini wenyewe na micorona yenu huko
Ulitaka atumie ndege ya baba yako? Stupid, very stupid indeed...mijitu mingine hovyo Sana...thinking capacity zero...Yaani anaenda kwenye shughuli za chama anatumia ndege ya serikali? hii ni dharau kubwa sn kwa watanzania.
It is business...chama kimelipia...ukiona hata TBC iko live kwa Mambo ya chama tambua au fahamu kuwa CCM au hata chadema imelipia...Shughuli za kichama atumie mali ya umma? shame on you
Wakati wanafurahi, walifurahia maisha wao peke yao. Sasa kwanini wakati wanalia, tulie nao????Hivi kwanini ninyi watu mna chuki zilizokithiri dhidi ya hayati JPM?
Waziri mkuu ndiye huwa msimamizi wa mazishi na hifadhi ya viongozi waandamizi na hasa hapo aliyefariki alikuwa Rais wa nchi kwa hiyo mnachokitaka kitu gani wakati tayari adhima yenu mlishaitekeleza?
Hao watu mnaowasimanga na wamekaa kimya kwa sasa ni wa hatari sana wakikasikirika msije mkasingizia ilikuwa ni siasa tu
Lieni na wale wanao lia, farijianeni ninyi kwa ninyi na furahini wote kwa pamoja
Kwani msukuma no yupi?..hivi wasukuma hawana mila ya mjane kurithiwa na mmoja wa ndugu wa mume wake?
..kuna makabila ambayo mwanaume akifarika mke au wake zake wanaozwa kwa ndugu wa kiume aliyebaki.
Nyumbu hawana uwezo wa kuona hiloUlitaka atumie ndege ya baba yako? Stupid, very stupid indeed...mijitu mingine hovyo Sana...thinking capacity zero...
It is business...chama kimelipia...ukiona hata TBC iko live kwa Mambo ya chama tambua au fahamu kuwa CCM au hata chadema imelipia...
Aidha ukiona Rais anatumia ndege ya ATC tambua kuwa serikali inalipia...