Mkomavu
JF-Expert Member
- Jan 25, 2016
- 11,753
- 16,743
Mtaro unakuwasha wew kenge??Mbwa we
Mtaro unakuwasha wew kenge??Mbwa we
Mazuri kama msambwanda wakoMaelezo mazuri
Ampande ElitwegeUlitaka apande ungo au
Umewahi kuona rais wa marekani anapokwenda kufanya kampeini za kisiasa huwa anatumia ndege gani? Air Force One !! Ni mojawapo ya privileges alizonazo ingawa baadaye kampeini inalipia sehemu za gharama.Kwenye kampeni za CCM atumie mali ya umma? nimekutukana tusi kubwa sn
Uchumi wa Marekani na hapa ni sawa? kwa hiyo kama MO hatumii daladala na mm nisitumie daladala?Umewahi kuona rais wa marekani anapokwenda kufanya kampeini za kisiasa huwa anatumia ndege gani? Air Force One !! Ni mojawapo ya privileges alizonazo ingawa baadaye kampeini inalipia sehemu za gharama.
View attachment 1780163
Kiserikali kupitia Chato wakati anaenda Kigoma kwenye kampeni?Hiyo ni Folker ya Rais kati ya zile ndege mbili za Rais ambapo alitoa moja kwa ATCL.
Ziara ya PM chato ni ya Kiserikali.
Unatafunwa weweUlitaka apande ungo au
DuhUnatafunwa wewe
Asipofanya hivo ule uwanja wataanikia mpunga wasukuma siyo watu wazur oohYaani anaenda kwenye shughuli za chama anatumia ndege ya serikali? hii ni dharau kubwa sn kwa watanzania.
Yaan kabur limefukuliwa auHayupo mle looh! Wenye kazi yao walishafanya yao kitamboo doh.
Hatari snAsipofanya hivo ule uwanja wataanikia mpunga wasukuma siyo watu wazur ooh
Unatuaminisha "Waziri Mkuu" Msimamizi "mkuu wa baraza la mawaziri", yupo kwenye kampeni ya kiserikali? Na haruhusiwi kutumia ndege ya serikali?Kwenye kampeni za CCM atumie mali ya umma? nimekutukana tusi kubwa sn
Acha upuuzi wewe, kwenye kampeni utumie mali za umma badala ya chama?Unatuaminisha "Waziri Mkuu" Msimamizi "mkuu wa baraza la mawaziri", yupo kwenye kampeni ya kiserikali? Na haruhusiwi kutumia ndege ya serikali?
Umeshindwa kabisa kutufahamisha Kampeni gani zipo huko Chato???Acha upuuzi wewe, kwenye kampeni utumie mali za umma badala ya chama?
Utaelewa nini we mpuuziUmeshindwa kabisa kutufahamisha Kampeni gani zipo huko Chato???
Wewe ndiye unamatatizo ya akili,kama safari binafsi hapangiwi,lakini akitumia fedha zetu kwa safari binafsi tutasema.Jamani acheni aende mbona mnawapangia watu kupenda anachoamini ?Kwenda kumsalimia huyo Mama nayo nongwa CHADEMA mna shida gani?
Hivi zile ndege walizokuwa wanatumia viongozi kabla ya ATCL kununua ndege hizi mpya zimeenda wapi?Yaani anaenda kwenye shughuli za chama anatumia ndege ya serikali? hii ni dharau kubwa sn kwa watanzania.