The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 18,117
- 50,929
Mokosa yepi yaliyofanyika? Mbona hujayataja?Huu mradi yaani umekua jinamizi kwa wakaazi wa Dar, japo MATAGA huwa yanasifia humu. Naomba sana tusije kurudia makosa ya Tanzania, tuwe makini sana na kutumia ubongo sio ujinga na ubabe usio na tija.