Kwa vyovyote vile watu wote wa Jimbo la waziri mkuu humuheshimu na kumtakia mema katika uongozi wake.
Upinzani unakuwepo kisiasa na kikatiba lakini haumpingi.
Mfumo wa dunia unataka vyama vingi lakini Africa tumeupokea mfumo wa vyama vingi kwa shingo upande
haiwezekani kabisa wapinzani pekee yao ndio wanakoseaga kujaza fomu lakini ccm wazee wa ndio wao ndio akili kubwa awakoseagi kujaza fomu hata mgombea mmoja kweli
Ina maana ccm hakuna mburura hata mmoja ahaaa ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.