Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 24,871
- 33,364
Wewe ndio maana mods huwa wanakupiga ban ya miezi kumbe akili yako ndio hii?Huyu bwana Majaliwa ni afadhali amfuate màgufool huko jehanum maana kama vile hayuko sawa hapa Duniani
Wewe ndio maana mods huwa wanakupiga ban ya miezi kumbe akili yako ndio hii?Huyu bwana Majaliwa ni afadhali amfuate màgufool huko jehanum maana kama vile hayuko sawa hapa Duniani
Sasa zitafikaje ontime kwa Wadau?Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema imeibuka tabia ya barua za ofisi za Serikali kuonekana mitandaoni akitaka taarifa hizo kuwa siri.
Majaliwa ameeleza hayo leo Jumatano Juni 30, 2021 katika mkutano wa mafunzo ya uongozi kwa wakuu wa mikoa na makatibu tawala Tanzania Bara na kubainisha kuwa barua hizo zinaonekana zaidi katika mitandao ya WhatsApp na Instagram.
“Hiyo tabia imeibuka sana kwa miaka ya hivi karibuni tunapotumia mitandao yetu. Kwa hiyo kuna haja ya kudhibiti utandawazi uliopo na matumizi ya mitandao ya kijamii naamini kila mmoja wenu atakuwa makini sana kwenye mada hii,” amesema
Amesema kuwa siri ndio uhai wa Serikali akiwataka watendaji hao pale ambapo itawasilishwa mada kuhusu usiri kwa taarifa za Serikali wawe makini kusikiliza.
Mwananchi
Sasa inakuaje zinasambaaBarua za ndani kwa ndani si taarifa kwa umma
Bwana mdogo hizo ban jazijawahi nizuia kumlisha & kumvisha dadakoWewe ndio maana mods huwa wanakupiga ban ya miezi kumbe akili yako ndio hii?
Dada una vituko wewe, yani umlishe dadangu?Sasa inakuaje zinasambaa
Bwana mdogo hizo ban jazijawahi nizuia kumlisha & kumvisha dadako
Zikishakua za taarifa
Basi automatiki zinakua ni za umma
Mkuu Fukara achana na mawazo ya kifukara. Kifo ni ndani ya dakika moja tu. Waziri Mkuu aliongea siku chache kabla JPM hajapiga ndoo teke.Majaliwa tangu atoe kauli yake ile "Rais yupo mzima na anachapa kazi ikulu"..nimemtoa thamani kabisa hafai tena kuwa kiongozi
Kama wajitapa bar unanijua Mimi nani baada ya kusotea ajira wataweza vipi kuvumilia
Unapoteza muda wako, hao ni wanafunzi hawajawahi hata kuona masjala ya wazi Achana na masjala ya siri
Hahahaha hapo ndo patamu mkuu. Kila mtu analalamikà hadi mwenye madaraka analalamikaSasa kama ni hivyo basi inakuaje zinasambaa kwenye magroup ya whatsapp?
Kwanini asiachie ngazi kwa kutoheshimika na kudharauliwa na watumishi hivyo?
Inakuaje anasimamia watu ambao hawana maadili halafu analia lia
Je sisi tumsaidieje?
Anaataka zisisambae anataka tuzisomee kwyenye gazette la serikali au?Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema imeibuka tabia ya barua za ofisi za Serikali kuonekana mitandaoni akitaka taarifa hizo kuwa siri.
Majaliwa ameeleza hayo leo Jumatano Juni 30, 2021 katika mkutano wa mafunzo ya uongozi kwa wakuu wa mikoa na makatibu tawala Tanzania Bara na kubainisha kuwa barua hizo zinaonekana zaidi katika mitandao ya WhatsApp na Instagram.
“Hiyo tabia imeibuka sana kwa miaka ya hivi karibuni tunapotumia mitandao yetu. Kwa hiyo kuna haja ya kudhibiti utandawazi uliopo na matumizi ya mitandao ya kijamii naamini kila mmoja wenu atakuwa makini sana kwenye mada hii,” amesema
Amesema kuwa siri ndio uhai wa Serikali akiwataka watendaji hao pale ambapo itawasilishwa mada kuhusu usiri kwa taarifa za Serikali wawe makini kusikiliza.
Chanzo: Mwananchi
Umma sio watumishi. Na sijasema barua za siri
Kuna correspondences za ndani kwa ndani,kuna taarifa kwa uma na taarifa za siri mkuu
Wewe barua ukiandika kwa demu wako hua unaainisha kwamba ni siri??? Na hio barua ukiikuta mtandaoni utaona ni sawa??? Sema kiswahili kina misemo hafifu. Kuna vitu Private ni kwa matumizi ya wahusika tu,sio public knowledge kipi kigumu hapoMawasiliano hupangwa na kuratibiwa. Kama ni siri mawasiliano hayo yataainishwa hivo. Kama sio siri, haitatajwa ni siri. Ukimwandikia mtu barua, huwezi ukaifanya siri. Siri haiwezi kuwa katika taarifa - inakuwa katika kufahamisha maamuzi!!
Barua ikiandikwa Siri maana yake siyo taarifa kwa umma, ni taarifa inayotakiwa kwenda kwa mlengwa/walengwa husika.Zitakuaje siri wakati ni taarifa?
Yani hata Mimi sikumuelewa kabisa,yani MTU Yukio ahera tayari na ameshasign kitabu kujisajili kisha huku unawadanganya watu kuwa ni mzima anapiga job.Majaliwa tangu atoe kauli yake ile "Rais yupo mzima na anachapa kazi ikulu"..nimemtoa thamani kabisa hafai tena kuwa kiongozi